figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #41
Hongera zako mkuu. Nicheke basipamoja nakuwa mwanaume mie sijawahi kufeli kupika aisee japo sina mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zako mkuu. Nicheke basipamoja nakuwa mwanaume mie sijawahi kufeli kupika aisee japo sina mke
mkuu uwe unatazama vipindi vya mapishi kwenye luningaHongera zako mkuu. Nicheke basi
Usijali na hujarogwa muda sahihi ukifika aliye wako atajitokeza bila kutumia msuliKila ninaye mpata simuelewielewi, upendo unaisha. Au nmerogwa mkuu? Hongera sana kwa Miaka 10 hiyo, umejitahidi sana
2naculager [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi ni dume, vipi unanitaka?
Wewe hujui kupika wala huwezi nicheka[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahahahaHivi unajua maana ya kidogo mkuu figganigga
Hiyo gharama ya viazi, mafuta, muda ni kheri ungekwenda kupata chips za Mdebwedo!Yaani huoshi sahani hadi uwe unataka kuitumia?... Ama kweli wanawake tuna kazi hapa duniani. Mkeo akiumwa siku tatu tunakuja kutoa Funza ndani
uliweka jikoni ukaenda kulala au?Heshima kweny wakuu,
Nimejitahidi kukaanga chips zikaungua kidogo. Sijajua nimekosea wapi, nlitaka nitoe Chips zilizokauka laini na tamu kama zile za pale kwa mdebwedo.
Naomba msaada;
Ni hatua gani zinapaswa kufuatwa ili itoke chips amizing? Naomba utaratibu wa kufuata ili wkend ijayo niitengeneze vizuri. Halafu wkend hii nina mgeni.
Msaada wakuu.
View attachment 389813
Hii nliyotengeneza imeungua kidogo.
tena awe ke hapo utaona raha ya somo ila asiwe na makucha kama vibinti wa darAsante, kilichonichelewesha ni kumenya viazi na kuosha sahani. nlikuwa mbali kidogo. Asante kwa ushauri. Mwisho wa siku ntaomba mtu wa kujitolea aje kunifundisha hili pishi.
Hapana mkuu. Nataka na mimi nijue kama wewe.Achana na chips wewe pika tu ugali
Nachukua watu wenye makucha na mawigi. Mawigi nlianza kuchukia nlipokuta nywele kwenye chakula. Kumbe mpishi alivaa wigi sijui la kushonea malinda. Sipendi hizi nywele na kama wa hivyo simhitaji. Bora niwe naunguza kila sikutena awe ke hapo utaona raha ya somo ila asiwe na makucha kama vibinti wa dar
Nlikua naosha sahaniuliweka jikoni ukaenda kulala au?
Sishibi halafu zinakosa ubora. Naomba uje kunifundisha wkend moja. Pls SkyHiyo gharama ya viazi, mafuta, muda ni kheri ungekwenda kupata chips za Mdebwedo!
Nataka nijue. Hadi sasa mtu mmoja ndo kanisaidia. Wengine mnanizodoa na kunikosesha furaha hadi najiona sifai. Basi mmoja wenu ajitolee aje anifundishe live. Mi nipo Dar. Atakaye nifundisha ntampa zawadi nono.Achana na chips wewe pika tu ugali
