Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndo zilizokatika ila zilikuwa laini ila za leo zimetoka ngumu adi kutafuna meno yanaumaJamani kuna siku nililalamika keki zangu zilipasuka ovyo ovyo nilivyozitia kwenye mafut! Nikapata ushaur nipunguze sukari na baking powder leo nimepika hizi maoni yenu tafadhali nirekebishe niniView attachment 1101056
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hizi ndo zilizokatika ila zilikuwa laini ila za leo zimetoka ngumu adi kutafuna meno yanaumaView attachment 1101059
Baking powder,sukari,na chumv ila nimekandia maji ya baridi[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hebu taja vitu ulivyoweka.
Thank uUmejitahidi, vizuri.
Yex der ni half cake sio cake!Hizi keki au half cake? Japo sijui hata kuzipika unaanzia wapi? Kwangu hizo za leo zinalika kuna ike kitu wanaita textual and Crispy wakati kutafuna, siyo kama keki ya birthday party
Half cake derHizo ni keki au halfkeki....
Safi sana hizi ziko poa kabisaJamani kuna siku nililalamika keki zangu zilipasuka ovyo ovyo nilivyozitia kwenye mafut! Nikapata ushaur nipunguze sukari na baking powder leo nimepika hizi maoni yenu tafadhali nirekebishe niniView attachment 1101056
Ni iz der zipo mguu pande kweliUMEPIKA KEKI ZIKO MGUU PANDE... but umejitahidi bwana
Safi sana hizi ziko poa kabisa
hizi za leo zipo vizuri zimesimama mguu sawa ila hazina uhakika,sijui zinataka kukimbilia wapi! Huko mdomoni vipi mama,tamu eeeehNi iz der zipo mguu pande kweliView attachment 1101468