Multiple Myeloma
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 466
- 393
Nice job rigaba/Gabapentin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yan zile zilizopita nilikanda unga mlauni zilinishinda hazikutoka vizur leo nikakanda mgumu ndo zimetok ivyo sema sikukandia mafutaUnga umekanda mgumu sana
Ha ha ha ni nzur sema ukila meno lazima yaume uwez kula mbili sema sikutia baking soda naon inasaidiag kidog kulainish cakehizi za leo zipo vizuri zimesimama mguu sawa ila hazina uhakika,sijui zinataka kukimbilia wapi! Huko mdomoni vipi mama,tamu eeeeh
Hapana der maji ya baridiUmekanda na maji ya moto kiasi
kwanini hukuweka sasa? ulisahau au ulitaka kujaribu pishi jipya uone zitakuaje? Usinambie bwana umepika popcorn za keki kwa ugumu huo,mimi zangu naomba nipondeee kwanzaHa ha ha ni nzur sema ukila meno lazima yaume uwez kula mbili sema sikutia baking soda naon inasaidiag kidog kulainish cake
Ha ha ha zinalika lakini kumbe unawez kandia maji ya moto niliogopa kukandia si wanasem unga inabid uwe mgumu maji ya moto naona ka unga unga utakuwa mwepesi vilekwanini hukuweka sasa? ulisahau au ulitaka kujaribu pishi jipya uone zitakuaje? Usinambie bwana umepika popcorn za keki kwa ugumu huo,mimi zangu naomba nipondeee kwanza
next time najua utatoa kitu Matata...nazisubiria kuzionaHa ha ha zinalika lakini kumbe unawez kandia maji ya moto niliogopa kukandia si wanasem unga inabid uwe mgumu maji ya moto naona ka unga unga utakuwa mwepesi vile
Kwaiy nitie maji ya motonext time najua utatoa kitu Matata...nazisubiria kuziona
Mafut ya moto!Kandia maji ya uvuguvugu,weka mafuta kiasi,baking powder kiasi na baking soda kiasi(hii ndio unatakiwa uipunguze kipimo maana ni kali)
Mafut ya moto!
Haujaweka mafuta au butter hata kidogo kwenye kukandia?Baking powder,sukari,na chumv ila nimekandia maji ya baridi
Sikuweka dough lilikuwa ngumuHaujaweka mafuta au butter hata kidogo kwenye kukandia?
Na je dough ilikuwaje?
Jitahidi husaidia kulainisha, lakini pia dough haitakiwi kuwa ngumu wala laini.Sikuweka dough lilikuwa ngumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningezionja ningekushauri vizuri
Kanavyotoa ushauri utasema kako vyedi kwenye mapishi..Pika ww tuoneJitahidi husaidia kulainisha, lakini pia dough haitakiwi kuwa ngumu wala laini.
Mi nadili na end products..Nina mdomo/ulimi makini wenye kutambua ladha nzuri na mbaya..Ndo mana nasema ningezionja ningetoa maksi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati we unajua kula tu na kupika chai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanavyotoa ushauri utasema kako vyedi kwenye mapishi..Pika ww tuone