Jason Statham2
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 694
- 1,013
Hayo ndio mambo sasa πKitu kimeiva kiongozi π
Sawa mkuu ntajaribu hiyo Technic πUko vizuri next time jaribu mchemsho wake ila Ndimu au limao usikose kisha lete mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Ni muhimu mwanaume kujua kupika sio kila siku fast food au kupikiwa
Sijui kupika, na sioni umuhimu wowote.
Konachinishangaza ni thread za wanaume humu wanapost post wakiwa wamepika.
Ni ufala kupost hizo mambo.
Mtu hufanya kile anachopendezwa nacho na kwa kuwa humu kila mtu anao uhuru wa kuandika chochote pasi na kuvunja sheria basi ni halali kama wewe hupendezwi kuliko kupandisha sukari unapita mbali na vile unavyoshangazwa navyo mkuuNimesema sijui na sina ninachopoteza.
Kinachonishangaza ni wanaume kupost post wakiwa wanapika.
I can understand kama ni kazi, ila siyo hizi za kupika home unapost humu.
Mtu hufanya kile anachopendezwa nacho na kwa kuwa humu kila mtu anao uhuru wa kuandika chochote pasi na kuvunja sheria basi ni halali kama wewe hupendezwi kuliko kupandisha sukari unapita mbali na vile unavyoshangazwa navyo mkuu
Wakubwa hawali mchuzi?..