GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Mpango wangu wa kutaka mwanamke wa kihindi umegonga mwamba.
Nimejaribu kwa wanawake wanne akiwemo na yule aliyewahi kuniminya
mkono kule posta, watatu wamenikataa huku mmoja akisita kutokana
na hofu ya familia yake na kitisho cha kurudishwa India kama alivyofanyiwa
dada yake ambaye alichumbiwa na Mpemba.
Imeniuma sana maana zoezi lote hilo nimeambulia kujifunza kihindi tu
kama nilivyoshauriwa na wadau hapa jukwaani.
Kwa sasa nimepata mwanamke wa Msumbiji ambaye baba yake ni mreno (Hamjui)
mama yake ni mwafrika. Na ninakukaribisheni (angalau muhudhurie kwa roho zenu)
katika ndoa itakayofanyika Jumamosi ya Tar 29/12/ 2012 Mungu akipenda.
Ndoa itafanyika Mweda au Nangadi kutokana na makubaliano ndugu wa bi Harusi
mtarajiwa. KARIBUNI SANA.
Nimejaribu kwa wanawake wanne akiwemo na yule aliyewahi kuniminya
mkono kule posta, watatu wamenikataa huku mmoja akisita kutokana
na hofu ya familia yake na kitisho cha kurudishwa India kama alivyofanyiwa
dada yake ambaye alichumbiwa na Mpemba.
Imeniuma sana maana zoezi lote hilo nimeambulia kujifunza kihindi tu
kama nilivyoshauriwa na wadau hapa jukwaani.
Kwa sasa nimepata mwanamke wa Msumbiji ambaye baba yake ni mreno (Hamjui)
mama yake ni mwafrika. Na ninakukaribisheni (angalau muhudhurie kwa roho zenu)
katika ndoa itakayofanyika Jumamosi ya Tar 29/12/ 2012 Mungu akipenda.
Ndoa itafanyika Mweda au Nangadi kutokana na makubaliano ndugu wa bi Harusi
mtarajiwa. KARIBUNI SANA.