Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
Hapo ulipofikia ndì ujenzi unaanza.Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayar mlango(drill) tayar. Lakin kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri. Nilitegemea jibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Ushauri mzuri sana huuUkishaamua lako usitegemee ushauri kitoka kwa watu. Kama hapo palipofikia hiyo nyumba inaweza kukalika nenda kakae vingine utamalizia ukiwa humo.
u]Umewahi kujenga au unatuma watu wakujengee ?Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu tuambie, ujue kwa kauli hiyo nimeona kama sitaweza kujenga maisha yangu yoteumewahi kujenga au unatuma watu wakujengee ?
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu mkuu utafika, kiwanja tayari chako hakuna deadlineDah! Hujapoteza. Nikeshazamisha the same amount lakini nyumba ndio kwanza iko kwenye msingi na sioni dalili za kuumaliza.
Thaanx!