Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother tusikariri,hajataja ni wapi kama yupo nje ya Dar kuna sehemu wanafanya ujenzi kwa tofali za kuchoma na nyumba zinakuwa imara.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nakupongeza kijana kwa kazi nzuri uliyofanya.
Nakushauri weka choo ya nje ya muda, weka tank la maji na gutters za kuvuna maji ya mvua.
Imarisha security ya milango na madirisha uhamie, ili fedha ya kupanga ikusaidie kwenye finishing.
Umenifurahisha kama ni kweli.
Ubarikiwe!!
 
Nakupongeza kijana kwa kazi nzuri uliyofanya.
Nakushauri weka choo ya nje ya muda, weka tank la maji na gutters za kuvuna maji ya mvua.
Imarisha security ya milango na madirisha uhamie, ili fedha ya kupanga ikusaidie kwenye finishing.
Umenifurahisha kama ni kweli.
Ubarikiwe!!
Wengi tumehamia ikiwa nyumba haijaisja na ukiingia nyumba ya namna hyo lazima moyo ukusute
 
Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuta unamsema hivyo mwenzako wakati unakaa kwa shemeji dadaako akiachika na wewe huna makazi
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Hmm! Aisee
 
Back
Top Bottom