Mkuu kuna zile nyumba za kizamani...zile vyumba na korido!sijui km unanielewa!.so inawezekana km iko hvyo..nyumba za zaman zina ufupi fulan...nyumba za kisasa zimepanda kama kozi kadhaa!sipend nyumba zenye kordo upande rums then kwisha habareee[emoji6]!
Kama ushaezeka uko vzrKama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana mods.
Niamini Mimi 100 % na mke ushatombewa!Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana mods.
Zimekaa kimbitiyaza.
Kwamba anamtakatishia Fedha....!Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unatukatisha tamaa wenye vipato vidogo mkuu[emoji852][emoji852][emoji852]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nahisi hakuna plaster. Hakuna ceiling board ya aina yoyote. Mbao ni zile rejected.
Imejengwa kama za Wapemba was jenga uza.
Umeshawahi kujenga mkuu? Unajua chumba kimoja matofali mangapi yanaingia mkuu? Chumba cha ft 12 x 10?
Utakuta unamsema hivyo mwenzako wakati unakaa kwa shemeji dadaako akiachika na wewe huna makazi
Brother tusikariri,hajataja ni wapi kama yupo nje ya Dar kuna sehemu wanafanya ujenzi kwa tofali za kuchoma na nyumba zinakuwa imara.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
umewahi kujenga au unatuma watu wakujengee ?
Ndo useme chumba kimoja kinaingia matofali mangapi? Na pia sinazungumzia unajengea matofali ya nchi ngapi? Ukizingatia hizo ft ni standard kwa chumbaKiliko unavyodhani,tena huwa sijengi na tofari za nchi 5,mimi ni kuta zilizoshiba,nchi 6, A-Z.
Dirisha za kibabe,finnishing kali,bira nitumie muda mrefu lakini kila nikimaliza najua nimejenga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili iweje