wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
Kumbe nyumba yenyewe kaijenga miaka 20 iliyopita?Mmh mhh akili inakataa!
Hiyo bei imejumlisha na digitali uliyofunga juu ?
Mkuu hata tofari za kuchoma sio rahisi hivyoHongera sana.
Hapo utakuwa umetumia matofali ya kuchoma kama sikosei.
Mkuu kama haujui kaa kimya, tofali za udongo sh 30 na wakikuchomea ni sh 50Mkuu hata tofari za kuchoma sio rahisi hivyo
Wapi huko mkuu?Mkuu kama haujui kaa kimya, tofali za udongo sh 30 na wakikuchomea ni sh 50
hongera kwa kujenga banda la kuku.