chapamamba
Member
- Jan 23, 2011
- 56
- 21
if u bend over first, it is all possible/Lete yako tuione kimburu wewe
hongera mkuu,manake wengine hawatak kujenga hadi wawe na cash 20m.hapo unaweka matoleo,ukiashiria mpambano unaendelea!hongera sana
Mkuu kama haujui kaa kimya, tofali za udongo sh 30 na wakikuchomea ni sh 50
Acha Uzushi wako wewe unajifanya unajua wakati we mwemyew hamna kitu hebu nielezee ni maeneo gani ambapo waweza pata tofali kuchomwa kwa shiling 50?
Mikoa ya kanda ya kati kaka.Jambo muhimu lakujiuliza ni maeneo gani umejenga?
umejengea wapi mkuu?
kwani wengi tunahitaji kujenga nyumba kama hizo za bei rahisi, kwani
sehemu nyingi hii ni bei ya kiwanja tu! hebu fanya mchanganuo basi
tukuelewe mkuu
Nilianza nov.2011 na naendelfa maana bado haijaisha.uliijenga mwaka gani?. mia
Please....mimi ni mbeba zege mzuri tu usininyime ajira!Mwenye nyumba akiweka mnyambulisho na mlinganyo wa gharama jinsi alivyo jenga hiyo nyumba kwa kiwango cha fedha alicho sema na mimi najenga yangu kesho asubuhi na mapema.
inategemea umeijenga wapi.wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe kila kitu ni maamuzi tu.
View attachment 80541