Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo sh. 50 Ni gharama ya mfyatuaji na mchomaji.Mkuu kama haujui kaa kimya, tofali za udongo sh 30 na wakikuchomea ni sh 50
Hapa itakuwa tofali ulifyatua mwenyewe kwa kutumia udongo wa bure, ukazichoma mwenyewe halafu fundi ukawa pia ni mwenyewe, yaani unajua kujenga na wakati wa kujenda ulkuwa na vibarua wa nyumbani kwako ambao hukuhitaji kuwalipa. Ulichofanya wewe ni kununua cement, mabati pamoja na mbao. Possibly hata kupaua pia unajua. Kwa hiyo kwa analyisis hii, inawezekana kabisa hela hiyo kujenga nyumba hii nzuri ambayo nimeipenda. Hongera sana na ubarikiwe.wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe kila kitu ni maamuzi tu.
View attachment 80541
Mwaka gani mkuu maana Hadi bati zimewwka kutu si leoWakuu hamuwezi amini nimejikakamua kujenga nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe kila kitu ni maamuzi tu.
View attachment 80541
umetumia muda gani?Mbona bati choka mbaya?Wakuu hamuwezi amini nimejikakamua kujenga nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe kila kitu ni maamuzi tu.
View attachment 80541