Nimejiajiri kama Blogger, hata nawe unaweza jaribu

I create rhythm in design. I am Logoriddim. C'mon risen up... Reload your image. Get a logo. Now!
 
Uzi wako unaelimisha sana. Binafsi ninanufaika kwa kuwa blogger. Namshukuru sana Mwenyezingu maana kanijaalia Nafanya kazi na watu ndani na nje ya nchi. Hii ni fursa ambao inatakiwa tuitumie inatakiwa tuitumie ipasavyo

 
Mkuu Nimepitia hii blog.. its very simple hata LOGO hujaweka mkuu.
Ila poa poa kazi nzuri.Unajitangaza vyema na mie nitakuta one day mkuu

Asante. Kwa sasa niko busy sana ila hivi karibuni nitaifanyia maboresho stahiki in shaa Allah
 
I create rhythm in design. I am Logoriddim. C'mon risen up... Reload your image. Get a logo. Now!

Changamkia fursa ya kufungua blog utangaze huduma/ bidhaa zako. Google blog ni bure na kwa muda mfupi ukijitangaza wadau wengi ndani na nje ya nchi watakutambua.
 
Ushauri Wa bure: hakikisha unaisajili logo/nembo yako au trade name yako pale brela. Ni gharama nafuu kiasi. Kwa kufanya hivyo utakuwa unailinda project yako dhidi ya mafisadi ambao wanaweza kutumia trademark yako kwa faida zao binafsi
 
Kwa Kila kazi moja ya kutengeneza logo utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya 1. Proforma Invoice Template 2. Tax Invoice Template 3. Delivery note template 4. Headed Paper Template 5. Biz Card Template.
Contact: (mobile/whatsapp/viber): +255 688 999006
logoriddim@yahoo.com
Ili kujiridhisha juu ya uwezo wangu Tafadhali tembelea blog yangu ifuatayo: http://logoriddims.blogspot.com/
Karibuni sana.
 
Mifano ifuatayo ya baadhi ya kazi zangu ina lengo la kukuhamasisha zaidi


 
jamani naomba msaada Wa kufungua blog haraka sana

Ni rahisi sana pengine kufungua blog mkuu.Hasa hizi za blogspot.com,wordpress.com n.k..
Kikubwa ni lengo lako husika hasa upande wa content.. Kama Umejipanga hivyo basi kila la kheri.Wadau watakusaidia kufungua mkuu.Mimi sio mzoefu sana!
 
NYONGEZA YA USHAURI:-

Kwa kipindi Kirefu kiasi nimekuwa katika mambo haya ya Blogging, nimeona na kujifunza mengi, nitoe wito kwa Vijana wenzangu ambao bado hatujapata Ajira Rasmi au wale ambao tupo kwenye Ajira na Tunafikiria Wapi tunaweza kupata nafasi ya kuanzisha Biashara ama Kuwekeza, basi Angalia na Karibu katika Ulimwengu wa Blogging, Ni Zao la kipekee ambalo endapo utalilima na kulilea kwa Misingi inayotakiwa kamwe haliwezi kukutupa Ingawa Lina Changamoto Nyingi. Karibu Tujadiliane na Kupeana Njia zaidi. Kila la Kheri kwa wote watakao kuwa tayari kuthubutu.

Mabadiliko chanya, yanaanza sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…