Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Wakuu naombeni wenye ufahamu kuhusu hili anisaidie hata kwa ushauri, nini nifanye?
Kuna mgaga wa kienyeji nilienda kumweleza tatizo langu la ukosefu wa nguvu nikwambia wakati nasoma mchezo wa punyeto niliucheza sana.
Akaniambia majani ya mgomba ndio dawa, endepo nitafanya kale kamchezo kwa kutumia yale majani itakuwa ni tiba kwa tatizo langu.
Sasa tatizo limekuwa ni kubwa.
Kuna mgaga wa kienyeji nilienda kumweleza tatizo langu la ukosefu wa nguvu nikwambia wakati nasoma mchezo wa punyeto niliucheza sana.
Akaniambia majani ya mgomba ndio dawa, endepo nitafanya kale kamchezo kwa kutumia yale majani itakuwa ni tiba kwa tatizo langu.
Sasa tatizo limekuwa ni kubwa.