Nimejifunza kitu jana katika maandamano ya washabiki wa Manchester United

Nimejifunza kitu jana katika maandamano ya washabiki wa Manchester United

Heijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
5,466
Reaction score
8,937
Jana wakati nimekaa tayari kutaka kuangalia mechi ndio yakatokea yale ya washabiki lakini mimi sitaki kuongelea lile tukio maana tumeliona sote macho yangu yalikuwa kwa Police.

Kwa kweli wenzetu na weledi mkubwa sana jinsi walivyokuwa wanawaondoa mashabiki uwanjani mpaka kule nje ni kama wanatembea taratibu police wako line moja hata kama kulitokea wawili waliumia kidogo lakini weledi wa hali ya juu. Sasa tupate picha ingekuwa ndio yametokea uwanja wetu wa Mkapa.

Kama naona mbwa wakiuma watu, virungu na kukalishwa chini kwenye matope hapo bado mabomu ya machozi na watu wanafukuzwa kila kona bado kelele za police ving'ora bado matusi na ubabe.
 
Una Imagine vitu kichwani, unaviweka kwenye uhalisia, halafu unaviamini kwamba ikitokea hapa kwetu itakua kama unavyo imagine.

Duh!
 
Sometimes najifunza utamaduni wa tabia za watu wa magharibi kupitia zile comedy zinaitwa PRANKS huko YouTube.

These whites are very calm people, mtu anafanyiwa masihara ambayo nadhani kwa sisi watanzania ni wachache wataweza kutake easy.

Beside MAPOLISI kwa ujumla sisi ni watu wa Ghasia na mifarakano.
 
Mkuu acha tu, Africa ni bara lililopoteza uelekeo.

Wazungu ni watu wastarabu sana, hawana unyama kiasi hicho

Ndio maana YESU alikuwa mzungu.

Na uwezo aliokuwa nao angekuwa mwafirika nadhan yangetokea mengine.
 
Mkuu acha tu ,Africa ni bara lililopoteza uelekeo.

Wazungu ni watu wastarabu sana, hawana unyama kiasi hicho

Ndio maana YESU alikuwa mzungu.

Na uwezo aliokuwa nao angekuwa mwafirika nadhan yangetokea mengine.
Hongera kwa kuchukua ubingwa EPL WAZUNGU KWA USTAARABU WAKO MBELE MAILI MILIONI.
 
Mkuu acha tu ,Africa ni bara lililopoteza uelekeo.

Wazungu ni watu wastarabu sana, hawana unyama kiasi hicho.

Ndio maana YESU alikuwa mzungu.

Na uwezo aliokuwa nao angekuwa mwafirika nadhan yangetokea mengine
Hakuna nabii hata mmoja mzungu labda tupeane elimu upya mzungu ni mtu wa namna gani manabii wote anzia Adam, Nuhu, Ibrahim, Daud,Suleiman, Ayub, Musa kuja Yesu(Isa) hadi wa mwisho Muhammad hakuna hata mmoja aliyetoka bara ulaya wangepata bakhti hiyo wangeringa yaani nabii atokee Uingereza Germany au Italy?
 
Aya tunayofanya Sasa wao pia walisha yapitia, ni swala la muda tu nasisi tutafikia uo ustaarabu. wazungu washapigana Sana mitama na mboko za kutosha.
 
Hakuna nabii hata mmoja mzungu labda tupeane elimu upya mzungu ni mtu wa namna gani manabii wote anzia Adam,Nuh,Ibrahim,Daud,Suleiman,Ayub,Musa kuja Yesu(Isa) hadi wa mwisho Muhammad hakuna hata mmoja aliyetoka bara ulaya wangepata bakhti hiyo wangeringa yaani nabii atokee Uingereza Germany au Italy?
Labda tunaenda nje ya mada lakini nataka niliweke hili katika hali nayoijuwa mimi na ni maoni yangu binafsi. Mimi naamini wazungu, wa Africa mpaka wa Asia na huko kote watu ni wazuri sana maana hata dini tuliziamini kwa kuletewa tu. Lakini tatizo jiulize kwanini mitume wote wametokea mashariki ya kati? na naongelea mpaka Israel ni kwa sababu watu wanaotoka maeneo haya walikuwa makatili sana na wagumu kuamini na hii ni mpaka leo ndio maana hata habari zao hawaamini kama mtu kauliwa mpaka waone anauliwa na kalala chini lakini hata hapo bado watakaa kusema ni fake, news zao kwenye TV kumwagika damu mtu kukatwa au kupigwa risasi kawaida tu lakini huwezi kuona haya nchi zingine. Mitume wangapi walishushiwa na dalili zote lakini bado walikuwa wanawakana baada ya muda, walishushiwa mpaka mujiza ili waamini lakini walimjaribu mpaka Mungu wayahudi walimfanya nini Yesu? aliwafufua mpaka katika umauti lakini asubuhi wakamkana. kwa hili eneo la mashariki ya kati kama Mungu aliwajuwa hawa watu roho ngumu. Hebu tuangalie ingekuwa hawa mitume walishushwa Africa au Europe unadhani wangeamini lazima wangeendelea kuabudu misanamu. Sisi huku tuliletewa tu dini na watu na tumeamini na uhakika na huu ustaarabu wa police tunaweza tu ikiwa mafunzo yatatolewa police kuwa wastaarabu sio adui wa watu, nguvu inatumika pale tu inapobidi sio mtu akikohoa tu fimbo na rungu.
 
Mkuu acha tu ,Africa ni bara lililopoteza uelekeo ...

Wazungu ni watu wastarabu sana ,hawana unyama kiasi hicho

Ndio maana YESU alikuwa mzungu ,...

Na uwezo aliokuwa nao angekuwa mwafirika nadhan yangetokea mengine
Manabii wote ni warabu acha uongo
 
Polisi wa Tanzania tabu Sana[emoji1787][emoji1]

Yaani ungekuwa Jana ndio tz aisee this time watu wangekuwa mochwari au ICU

Polisi wa TANZANIA hawana weledi wowote katka kazi zao .

Wanaongozwa na hisia zaidi na matamko ya kisiasa

Professionalism ni zero

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna nabii hata mmoja mzungu labda tupeane elimu upya mzungu ni mtu wa namna gani manabii wote anzia Adam, Nuhu, Ibrahim, Daud,Suleiman, Ayub, Musa kuja Yesu(Isa) hadi wa mwisho Muhammad hakuna hata mmoja aliyetoka bara ulaya wangepata bakhti hiyo wangeringa yaani nabii atokee Uingereza Germany au Italy?
Nabii Shila na Nabii Nyuki je?
 
Jana wakati nimekaa tayari kutaka kuangalia mechi ndio yakatokea yale ya washabiki lakini mimi sitaki kuongelea lile tukio maana tumeliona sote macho yangu yalikuwa kwa Police.

Kwa kweli wenzetu na weledi mkubwa sana jinsi walivyokuwa wanawaondoa mashabiki uwanjani mpaka kule nje ni kama wanatembea taratibu police wako line moja hata kama kulitokea wawili waliumia kidogo lakini weledi wa hali ya juu. Sasa tupate picha ingekuwa ndio yametokea uwanja wetu wa Mkapa.

Kama naona mbwa wakiuma watu, virungu na kukalishwa chini kwenye matope hapo bado mabomu ya machozi na watu wanafukuzwa kila kona bado kelele za police ving'ora bado matusi na ubabe.
Sisi tuna askari vichaa hawana ethics kabisa na haya mambo
 
Jana wakati nimekaa tayari kutaka kuangalia mechi ndio yakatokea yale ya washabiki lakini mimi sitaki kuongelea lile tukio maana tumeliona sote macho yangu yalikuwa kwa Police.

Kwa kweli wenzetu na weledi mkubwa sana jinsi walivyokuwa wanawaondoa mashabiki uwanjani mpaka kule nje ni kama wanatembea taratibu police wako line moja hata kama kulitokea wawili waliumia kidogo lakini weledi wa hali ya juu. Sasa tupate picha ingekuwa ndio yametokea uwanja wetu wa Mkapa.

Kama naona mbwa wakiuma watu, virungu na kukalishwa chini kwenye matope hapo bado mabomu ya machozi na watu wanafukuzwa kila kona bado kelele za police ving'ora bado matusi na ubabe.
Polisi wetu kwanza niwapongeze.....wanafanya kazi nzuri sana.
Mkuu,nature ya watu wa huku kwetu ndiyo inawafanya polisi kutumia nguvu kupita kiasi. Mtu mweusi hats awe ulaya ni mgumu kucontrol....ndio maana wanauawa kwa kupigwa risas
 
kwahiyo ata yesu alikuwa ni mwarabu
Sijui nisemeje maana si mtaalam sana wa jiografia ila nijuacho manabii wote wametoka mashariki ya kati syria,iraq,palestine,jordan,yemen na nchi zingine kibao km kuna nchi nimeorodhesha hapo haipo mashariki ya kati nipo tayari kurekebishwa wa mwisho kabisa akatokea saudia Muhammad rasul Allah (S.A.W)
 
Labda tunaenda nje ya mada lakini nataka niliweke hili katika hali nayoijuwa mimi na ni maoni yangu binafsi. Mimi naamini wazungu, wa Africa mpaka wa Asia na huko kote watu ni wazuri sana maana hata dini tuliziamini kwa kuletewa tu. Lakini tatizo jiulize kwanini mitume wote wametokea mashariki ya kati? na naongelea mpaka Israel ni kwa sababu watu wanaotoka maeneo haya walikuwa makatili sana na wagumu kuamini na hii ni mpaka leo ndio maana hata habari zao hawaamini kama mtu kauliwa mpaka waone anauliwa na kalala chini lakini hata hapo bado watakaa kusema ni fake, news zao kwenye TV kumwagika damu mtu kukatwa au kupigwa risasi kawaida tu lakini huwezi kuona haya nchi zingine. Mitume wangapi walishushiwa na dalili zote lakini bado walikuwa wanawakana baada ya muda, walishushiwa mpaka mujiza ili waamini lakini walimjaribu mpaka Mungu wayahudi walimfanya nini Yesu? aliwafufua mpaka katika umauti lakini asubuhi wakamkana. kwa hili eneo la mashariki ya kati kama Mungu aliwajuwa hawa watu roho ngumu. Hebu tuangalie ingekuwa hawa mitume walishushwa Africa au Europe unadhani wangeamini lazima wangeendelea kuabudu misanamu. Sisi huku tuliletewa tu dini na watu na tumeamini na uhakika na huu ustaarabu wa police tunaweza tu ikiwa mafunzo yatatolewa police kuwa wastaarabu sio adui wa watu, nguvu inatumika pale tu inapobidi sio mtu akikohoa tu fimbo na rungu.
Sasa nimekuelewa mashariki ya kati mijitu ilikuwa jeuri kwelikweli sidhani km ingekuwa ndio manabii wametokea kwetu huku halafu wangepelekewa ujumbe km wangeukubali
 
Back
Top Bottom