Nimejifunza kitu jana katika maandamano ya washabiki wa Manchester United

Life la Afrika ni kama mchezo wa kidali na kombolelela, muda wote taharuki tu.
 
Mkuu acha tu, Africa ni bara lililopoteza uelekeo.

Wazungu ni watu wastarabu sana, hawana unyama kiasi hicho

Ndio maana YESU alikuwa mzungu.

Na uwezo aliokuwa nao angekuwa mwafirika nadhan yangetokea mengine.
Nani anayesababisha hali hii? Walipokuja kututawala walitukuta hivi?
 
Big up mkuu. Nature ya polisi wetu ni wale waliotufundisha upolisi wa aina hii. Polisi wetu enzi za akina rugaruga hawakuwa hivi. Wao ndo walitubadilishia tabia ya polisi.
 
Naona thread imeingliwa na udini sasa ya manabii kuwa waarabu. Mwngn kaandka nchi zote za uko lakn kaiacha israel hatak kuamin ni taifa.

Yesu ni MUNGU mkubali mkatae.
Muhamad siyo mtume wala nabii.
allah siyo MUNGU bali.Jehovah ndiye MUNGU.
 
Hata hivo watu wakule niwastarabu kidogo,Maandamano hayo yangelikuwa taifa ungeona viti vinangolewa, matairi yanachomwa,nyavu zinachanwa, milango ya uwanja inangorewa, lakini kule hauwezi kuona kitu kama hicho,watu wanaandamana kwa kufikisha ujumbe,wakiisha maliza kufikisha ujumbe wanatawanyika, inabidi nasi huku tuwe wasitarabu kidogo, Police mpaka kuja kupiga watu marungu wameisha toa onyo sana la kutawanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…