ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Nimejipigapiga na kupata sh.350,0000/= Laki tatu na nusu.
Niliwahi kuwaomba ushauri mkasema nifungue genge. Nashukuru nimefanya hivyo pamoja na kufungua kaduka kadogo kwani genge limenigharimu sh.100000/= tu na linakwenda vizuri.
Sasa kwa kuwa nimedhamiria biashara ya kuuza vitu vidogo vidogo vya nyumbani nilienda TRA ili wanipe TIN NUMBER kwa sababu nina mpango wa kuwa wakala wa Mpesa, tigopesa, Airtelmoney na Halopesa.
Wamenikadiria na kusema nipeleke sh.318,000/= Laki tatu elfu kumi na nane kama kodi kwa miezi 6.Wakaniuliza anza kulipia sasa nikasema sina pesa yoyote, yule mama akachukue ile tin namba yangu na kuihifadhi kasema nitakapoanza kulipia niende na fomu moja hivi aliyonipa.
Sasa wadau fomu imeandikwa expected annual income is tsh.8000000/=Hiyo ninini?Kingine,hiyo kodi mbona naona kama ni kubwa, incase nikishindwa nifanye nini?
Naombeni ushauri wadau. LENGO MIMI NI MUUMINI MZURI WA MAENDELEO NDIYO MAANA SITAKI KUKWEPA KULIPA KODI KWANI HATA NILIPOENDA TRA WANIKADIRIE JIRANI ZANGU WOTE AMBAO WANAFANYA SHUGHULI KAMA ZANGU NA HAWALIPI KODI WANANIONA ZUZU.
Niliwahi kuwaomba ushauri mkasema nifungue genge. Nashukuru nimefanya hivyo pamoja na kufungua kaduka kadogo kwani genge limenigharimu sh.100000/= tu na linakwenda vizuri.
Sasa kwa kuwa nimedhamiria biashara ya kuuza vitu vidogo vidogo vya nyumbani nilienda TRA ili wanipe TIN NUMBER kwa sababu nina mpango wa kuwa wakala wa Mpesa, tigopesa, Airtelmoney na Halopesa.
Wamenikadiria na kusema nipeleke sh.318,000/= Laki tatu elfu kumi na nane kama kodi kwa miezi 6.Wakaniuliza anza kulipia sasa nikasema sina pesa yoyote, yule mama akachukue ile tin namba yangu na kuihifadhi kasema nitakapoanza kulipia niende na fomu moja hivi aliyonipa.
Sasa wadau fomu imeandikwa expected annual income is tsh.8000000/=Hiyo ninini?Kingine,hiyo kodi mbona naona kama ni kubwa, incase nikishindwa nifanye nini?
Naombeni ushauri wadau. LENGO MIMI NI MUUMINI MZURI WA MAENDELEO NDIYO MAANA SITAKI KUKWEPA KULIPA KODI KWANI HATA NILIPOENDA TRA WANIKADIRIE JIRANI ZANGU WOTE AMBAO WANAFANYA SHUGHULI KAMA ZANGU NA HAWALIPI KODI WANANIONA ZUZU.