EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Umeshakula mgebuka wa kuchoma kibirizi?
Sawa
Smart guy
Nshaenda hata Matako hamna[emoji6][emoji57]Naomba upite hapo kwa Rose mata*o upate supu ya kuku gharama kwangu.
Hapa mashine za kamari fresh. Mitumba wanachukua BurundiUkiachana na Fursa ya kuuza Probox kipi Kingine umeona? Vipi Miamala ya mobile money? Vipi Bar na Guest house, Vipi Taxi na boda boda? vipi migahawa? vipi maduka ya nguo nguo mitumba au za kichina? vipi mashine za kamari, Vipi vibanda vya kubetisha?
Nshaenda hata Matako hamna[emoji6][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23],
Ndo naamka niende kupambana nipate mkate waleo na kesho[emoji481][emoji41]View attachment 1121387
Very amazingDuh hayo maji ya Dew Drop yanafanya vizuri kwlei sokoni.
[emoji23][emoji23][emoji23],
Ulivyodai siku hizi hayapo, kwani Roz kahama pale??Mkuu unacheka nn[emoji846]
Ingia ndani ndani huku tunauza mazao