Nimejikuta KIGOMA

Mkuu ulifika hadi Lugufu makao makuu ya wilaya ya uvinza? VP Yale mabanda ya mchina bado ni ofisi za DC?
 
Fm Bar kuna DJ mzee wamiaka 70+ ila anagonga ngoma kali balaa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipiga denti
[emoji23][emoji23]I think no changes mkuu, hapa ulinikuta msala Fulani nikaishia kutupwa selo kule uvinza town
 
Nlipewa sifa si nkaenda kuangalia. Bora hapa FM panabamba na ka CLUB kakupotezea usiku
FM pako poa ndyo, sema wenzio kilichokuwa chawapeleka pale ni uumbaji wa Allah!!.
 
Maana masela kibao washakimbia huo.msala

Ila wengine wanadakwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…