Nimejikuta napenda kupika

Ndg zangu.

Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wamewnza likizo napenda sana kuwafundushq mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile.

Sasa sijui wife anawqza nini ndoa isije tetereka
Kama wewe ni Mwanamme your finished.
 
Kama wewe ni Mwanamme your finished.
Yaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na Delina
 
Kama ni hivo basi mimi itabidi nikae jela kifungo maisha. Sababu napika pilau, biriani, Chapati zote na keki pia. Nisomee hukumu mkuu
 
🤣🤣🤣
 
Ndg zangu.

Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wameanza likizo napenda sana kuwafundusha mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile.

Sasa sijui wife anawaza nini ndoa isije tetereka

Soon utakuja kutulalamikia hapa kuwa unaachiwa majukumu na mkeo
Ni suala la muda tu......
 
Yaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na Delina
Siyo kaka wa Kazi tu Bro. Huyo ni Dada wa Kazi kabisa ( a.k.a house girl material) .Kwa kweli Mungu amrehemu mwenzetu huyu.
 
Soon dada msaidizi wa hapo home utamkosesha ajira yake na majukumu yake na ya mkeo utapewa wewe.

Uanze na kudeki na kufua.
Kufua sijaacha walahi, nafua sana. Na napenda sana kufua mashati yangu
 
Yaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na Delina
Ukirejea uzi wa msingi. Nimesema nawafundisha watoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…