nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
situmii wanawake ambao sijapata ruhusa kwa wazazi wakeHaya njoo nikupeleke bar yenye madem wazuri ukajipongeze
Hahaha hii ya vocha tu boss nawapa hamasa vijanaIla walimu laki na nusu unaanzishia uzi?
Shukrani bosshongera sana msomi
Tafuta hela, laki na nusu si yakujiona umefanya jambo la maana ndani ya siku 30!!situmii wanawake ambao sijapata ruhusa kwa wazazi wake
well done teacher 💪👊Mungu mkubwa japokua tuition yangu ni majumbani nawatembela watoto wa kishua hapa mtaani. Nilifanya savey mwezi wa 10 mwishoni hapa mtaani, kweli baada ya likizo nikapigiwa na wazazi wanne. So nikawa nawapangia tu muda tofauti tofauti.
Nashukuru nimetuna, likizo hii sijakaa kinyonge, tuwe wabunifu vijana wenzangu ajira hamna ila kazi zipo tele. Jumatatu naenda kazini fresh.
Mkuu hiyo ni upande wangu mmoja tu, nimeitoa iyo kuwapa hamasa vijana hunijuiTafuta hela, laki na nusu si yakujiona umefanya jambo la maana ndani ya siku 30!!
unajua nina biashara ngap?iyo laki na nusu dereva bajaji anaingiza ndani ya siku mbili
route ya mbezi manzese manzese mbezi
Hongera sana mkuu kwa kujiongezaMungu mkubwa japokuwa tuition yangu ni majumbani nawatembela watoto wa kishua hapa mtaani. Nilifanya savey mwezi wa 10 mwishoni hapa mtaani, kweli baada ya likizo nikapigiwa na wazazi wanne. So nikawa nawapangia tu muda tofauti tofauti.
Nashukuru nimetuna, likizo hii sijakaa kinyonge, tuwe wabunifu vijana wenzangu ajira hamna ila kazi zipo tele.
Jumatatu naenda kazini fresh.
Shukrani mkuu wanguHongera sana mkuu kwa kujiongeza
pamoja sana mkuuni hustle nzuri
Kila mtu ana level yake ya kuona kipi cha juu na chenye thamani kwake.Ila walimu laki na nusu unaanzishia uzi?