Nimejipatia Tsh. 150,000 likizo hii kwa kufundisha masomo majumbani

Nimejipatia Tsh. 150,000 likizo hii kwa kufundisha masomo majumbani

iyo laki na nusu dereva bajaji anaingiza ndani ya siku mbili

route ya mbezi manzese manzese mbezi
Laki na nusu ni mshahara wa mlinzi kwa mwezi

Ni mshahara wa dada wa kazi kwa miezi mitatu

Ni mshahara wa wafanya usafi kwenye maofisi baadhi

Ni mtaji mkubwa sana kwa machinga na watembeza juice, wauza matunda, karanga, mifuko na mama ntilie mitaank

Hata mimi naweza kuiona 150k ni ndogo lakini sio mbaya kumuacha jamaa awe motivational speaker peacefully pia
 
Laki na nusu ni mshahara wa mlinzi kwa mwezi

Ni mshahara wa dada wa kazi kwa miezi mitatu

Ni mshahara wa wafanya usafi kwenye maofisi baadhi

Ni mtaji mkubwa sana kwa machinga na watembeza juice, wauza matunda, karanga, mifuko na mama ntilie mitaank

Hata mimi naweza kuiona 150k ni ndogo lakini sio mbaya kumuacha jamaa awe motivational speaker peacefully pia
mentality za hivi zikikita mizizi kwa vijana wetu hasa wa kiume ni hasara.
 
Haya mkeo kasemaje juu ya dogo kuchukua maandazi kwenye deli ? Na shati jipya ?

Mmemalizana na waifu ?

Hongera kwa uthubutu

Mimi nshawah vuta laki tatu siku hz nimekuwa mvivu Ila Kigamboni uswahili mwingi hapa kufundisha hupati mwanafunzi labda nisake ng'ambo kama mwanzoni
 
Pesa ndogo sana kwa sisi wenye familia Mke wangu huwa namuachia kitita cha elfu 3 kila siku, 150k hatutafanikiwa kuishi maisha ya kifahari kama tuliyonayo
 
Haya mkeo kasemaje juu ya dogo kuchukua maandazi kwenye deli ? Na shati jipya ?

Mmemalizana na waifu ?

Hongera kwa uthubutu

Mimi nshawah vuta laki tatu siku hz nimekuwa mvivu Ila Kigamboni uswahili mwingi hapa kufundisha hupati mwanafunzi labda nisake ng'ambo kama mwanzoni
ule uzi umefungwa mzee
 
mentality za hivi zikikita mizizi kwa vijana wetu hasa wa kiume ni hasara.
Ni sawa ila si hasara kama kushinda vijiweni na kutegemea mishangazi.

Naheshimu kila mtu anaejitafuta na pia naelewa mwanaume lazma uwe na matamanio ya kufanya makubwa lakini hauwezi kuanzia juu, lazma ujenge msingi

Kwa hiyo kuidharau leo ya mtu aliye katika mchakato wa kutengeneza future yake. Sidhani kama ni sahihi mkuu
 
Mkuu hiyo ni upande wangu mmoja tu, nimeitoa iyo kuwapa hamasa vijana hunijui
Hamasa kwa laki na nusu.Wape hamasa kwa michongo ya mamilioni.Mbona huwapi ushauri juu ya mchongo unaofanya miezi mingine ya mwaka? Au maisha ni Desemba tu kwako?
 
Hamasa kwa laki na nusu.Wape hamasa kwa michongo ya mamilioni.Mbona huwapi ushauri juu ya mchongo unaofanya miezi mingine ya mwaka? Au maisha ni Desemba tu kwako?
Hiyo inawatosha boss
 
Back
Top Bottom