Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Hahaha!, hata aje RC wa Dodoma tutapigania taji aseh! 😀
Hahaaa...ntaambiwa muhamiaji haramu jamani...wengine siye kwetu ni kando kando ya Ziwa kabisaa...

Nshaanza kuliogopa baada ya kuskia natakiwa nionekane siku ya jf party[emoji23][emoji23][emoji3]
 
Amenitupia buchu lingine, langu peke yangu. Leo nitalala kama mtoto...[emoji16][emoji16]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeliomba kijanja mpk umelipata kaah!sikuwezi wewee!!!uko vzr!aiseeh
 


There she goes, another sweet lady!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] amu una nini lakinii!!
Amu amu amu!!tafadhali bwanaa!!!hujatulia ujue!!

Mimi mtu mzima kwa umri huu wa,mama wa watoto wawili,natakiwa niishi kulingana na hadhi ya umama...ingawa napinda sometimes hilo sikatai ila napaswa kurudi kwenye mstari no matter what!!!

Nikisema niharibu naharibu mpk kwenye kazi yangu!!nilivyo jf ndivyo nilivyo kihalisia kuna changes kidogo sana!!!kiukweli nahizo naziweka purposely!!!

Maisha mafupi haya haina haja ya kuweka beef au kuendeleza migogoro na watu !!
 
Hahaaa...ntaambiwa muhamiaji haramu jamani...wengine siye kwetu ni kando kando ya Ziwa kabisaa...

Nshaanza kuliogopa baada ya kuskia natakiwa nionekane siku ya jf party[emoji23][emoji23][emoji3]


Hahah!, eti muhamiaji haramu...lol!

Hapana bwana usiliogope. Hatuwezi ku force uonekane. Tusije kukupoteza bure.
 
Jiran leo bhata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…