Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Hahaha!, hata aje RC wa Dodoma tutapigania taji aseh! 😀
Hahaaa...ntaambiwa muhamiaji haramu jamani...wengine siye kwetu ni kando kando ya Ziwa kabisaa...

Nshaanza kuliogopa baada ya kuskia natakiwa nionekane siku ya jf party[emoji23][emoji23][emoji3]
 
Amenitupia buchu lingine, langu peke yangu. Leo nitalala kama mtoto...[emoji16][emoji16]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeliomba kijanja mpk umelipata kaah!sikuwezi wewee!!!uko vzr!aiseeh
 
Bina hujafanya vizuri kutotaja hao washkaji zako wa kiume teh

Bana bina sisi hatujawahi kukwaruzana na hata tukikwaruzana (God forbid); nafikiri mkwaruzo utaomba msamaha automatically na mambo yataendelea. So peace reigns, na uendelee tu kuwa that "strong lady". Unajua venye nakuaminia


There she goes, another sweet lady!
 
Unaona sasa wewe upo The Hague unapatana kuna wengine wanaleta za Bosnia na Chechnia Ila
Ujue nini? ktk maisha haya tujiepushe sana na mijiugomvi isiyokuwa na maana tujifunze kupembua pumba na mchele, halafu kupitia kwako nimejifunza kuna tofauti kubwa kati ya mwenye ajira rasmi, anayetunza family na aliyetulia tofauti na yule mshinda online masaa zaidi ya 18 kufungua akaunt kujiquote kujianzishia skendo, hakuna kazi wala biashara msingi kiuno akitoka kwa harry anaenda kwa jerry na kujaribu kuwachafua wengine kwa kusema fulani anamtaka bwanangu wakati huyo unayemuambia au unaowaambia wanawake Wenzako wanapeana channel za biashara, kazi wewe unabaki kutembeza upupu pm na whatsapp.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] amu una nini lakinii!!
Amu amu amu!!tafadhali bwanaa!!!hujatulia ujue!!

Mimi mtu mzima kwa umri huu wa,mama wa watoto wawili,natakiwa niishi kulingana na hadhi ya umama...ingawa napinda sometimes hilo sikatai ila napaswa kurudi kwenye mstari no matter what!!!

Nikisema niharibu naharibu mpk kwenye kazi yangu!!nilivyo jf ndivyo nilivyo kihalisia kuna changes kidogo sana!!!kiukweli nahizo naziweka purposely!!!

Maisha mafupi haya haina haja ya kuweka beef au kuendeleza migogoro na watu !!
 
Hahaaa...ntaambiwa muhamiaji haramu jamani...wengine siye kwetu ni kando kando ya Ziwa kabisaa...

Nshaanza kuliogopa baada ya kuskia natakiwa nionekane siku ya jf party[emoji23][emoji23][emoji3]


Hahah!, eti muhamiaji haramu...lol!

Hapana bwana usiliogope. Hatuwezi ku force uonekane. Tusije kukupoteza bure.
 
Jiran leo bhata wapi?
Unaona sasa wewe upo The Hague unapatana kuna wengine wanaleta za Bosnia na Chechnia Ila
Ujue nini? ktk maisha haya tujiepushe sana na mijiugomvi isiyokuwa na maana tujifunze kupembua pumba na mchele, halafu kupitia kwako nimejifunza kuna tofauti kubwa kati ya mwenye ajira rasmi, anayetunza family na aliyetulia tofauti na yule mshinda online masaa zaidi ya 18 kufungua akaunt kujiquote kujianzishia skendo, hakuna kazi wala biashara msingi kiuno akitoka kwa harry anaenda kwa jerry na kujaribu kuwachafua wengine kwa kusema fulani anamtaka bwanangu wakati huyo unayemuambia au unaowaambia wanawake Wenzako wanapeana channel za biashara, kazi wewe unabaki kutembeza upupu pm na whatsapp.
 
Back
Top Bottom