Sijapata malalamiko yakutosha. ....bado nakusanya.sehemu zote.
unataka yafike mangapi?Sijapata malalamiko yakutosha. ....bado nakusanya.
Mpwa nawe unataka uwajue hao washakaji wa kiume?
Umeanza lini?
Mtaanza ugomvi mpya.Haha awataje tu kama alivyowataja "ke"
unananisha nisikusamehe auSawa!!!
Binamu hao mmewataja nawapenda yaani nje ndani...hawajawahi nikosea...Bina hujafanya vizuri kutotaja hao washkaji zako wa kiume teh
Bana bina sisi hatujawahi kukwaruzana na hata tukikwaruzana (God forbid); nafikiri mkwaruzo utaomba msamaha automatically na mambo yataendelea. So peace reigns, na uendelee tu kuwa that "strong lady". Unajua venye nakuaminia
Kilounataka yafike mangapi?
ain't our thing uncleMtaanza ugomvi mpya.
Hahaha...ila wewe unaukorofi wako.Kilo