Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

Binam kwanini mimi umenitaja kwani mimi sihitaji usalama [emoji23] ,mi bana anaenichukia achukie tu moyo wangu mweupee ,atakaeona ananichukia mpaka anahisi kufa nipo Mwanza hadi na location nitampa nilipo
hata ungewaomba msamaha huku unalia hawakosekani wa kukuanzishia zengwe binadam bana mi nishaamua kuwaangalia wafanye wanavyotaka ni vizuri kwao
 
Hahaaa...wewe ni ke jamani!!hakuna shida hata kukutaja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!hao hapo nimewataja tu kama sampo!!

Wewe huyo utapigwa shauri zako penda tu ugomvi
 
Nipe Mimi location nije nianzishe zengwe hapo.
 
Mimi sikumbuki kama umenikosea,ila nimekusamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…