Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasoma mpaka mwisho,.ila yo' nailed dear!!!👏👏👏On a serious note.
Ray you're such a sweetheart dear. I'm not sure what you was thinking to come up with something like this but, you're too sweet.
This's just social media but still, at the end of the day we're all humans with feelings.
Humu ndani tunavyoenda, some, don't care much about other's feelings. Well, it's fake IDs anyways. Lakini kitu ambacho watu wanasahau, behind a fake ID, there's a human being with feelings. Na jinsi ambavyo that human being anaguswa na anafurahia some of the things in here, ndo hivyo pia anaweza kuguswa na kuumizwa with some of the things in here.
But then, we all deal with kufurahiswa ama kuumizwa, differently.
Ambavyo umeamua kuja na hii, kwa watu ambao wengine hata huwafahamu, shows how mature you're, Mentally&Spiritually.
Halafu hunaga issues na watu kivile. You speak up your mind, you laugh, have fun and move on. You always just fly girl!
Unajua nakupendaga lakini hii imenifanya nikupende zaidi. Umeonyesha kuna uwezekano kuwa Nice, Loving, Sweet and Mature kwenye social media kama hii, ambayo watu wengi wanatengeneza connections kwa ajili ya manufaa ya maisha yao, marafiki zao, ndugu na hata jamaa zao.
Keep it up Girl! ❤
We muache asije niungamia tuu..😁Mi simo hukoo!mother confessor umeskia
Aweeeeew!!![emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] speechless honey!!!!thanks for this dear!!!sina cha kuongezaOn a serious note.
Ray you're such a sweetheart dear. I'm not sure what you was thinking to come up with something like this but, you're too sweet.
This's just social media but still, at the end of the day we're all humans with feelings.
Humu ndani tunavyoenda, some, don't care much about other's feelings. Well, it's fake IDs anyways. Lakini kitu ambacho watu wanasahau, behind a fake ID, there's a human being with feelings. Na jinsi ambavyo that human being anaguswa na anafurahia some of the things in here, ndo hivyo pia anaweza kuguswa na kuumizwa with some of the things in here.
But then, we all deal with kufurahiswa ama kuumizwa, differently.
Ambavyo umeamua kuja na hii, kwa watu ambao wengine hata huwafahamu, shows how mature you're, Mentally&Spiritually.
Halafu hunaga issues na watu kivile. You speak up your mind, you laugh, have fun and move on. You always just fly girl!
Unajua nakupendaga lakini hii imenifanya nikupende zaidi. Umeonyesha kuna uwezekano kuwa Nice, Loving, Sweet and Mature kwenye social media kama hii, ambayo watu wengi wanatengeneza connections kwa ajili ya manufaa ya maisha yao, marafiki zao, ndugu na hata jamaa zao.
Keep it up Girl! [emoji173]
Jibu kwa kiingilishi bhanaaa😂😂😂mfyuuuAweeeeew!!![emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] speechless honey!!!!thanks for this dear!!!sina cha kuongeza
Jua nakupenda sana dear!!!
Hahaha tufanye tukamuone rasi lionLugha ya watu hyoo imekuja na ndege jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siwezi halafu dictionary iko mbali!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakupenda wajua hilooo...how I wish to be near u one day!!!najua ntaongea kinge...kama choteee!!!!within no time!!!
[emoji85] [emoji85] [emoji8] [emoji8] [emoji8]