Mkuu angalia ukamzoea alafu ukaja kuzoelea. Vitu vina wenyewe. Kuna vitu havizoeleki,mfano motoMkuu,Scopio ni mtu mzima.Keshaelewa ni nin kitaendelea baada ya kumzoea.
Nimependa nimzoee yeye kwa jins alivo(kama kwel ndie yeye huyo)
Ukishampangishia hiyo nyumba nini kinafata?Kama compact hana hela ni PM mimi , nitakupangishia nyumba upanga
Mkuu kuna vitu vya kununua hapa duniani lakini sio "dudu". Kwanini nitumie gharama kubwa kununua dhambi?? MUNGU hakunileta hapa duniani ili nije ninunue "dudu". Kila mwanamume anapaswa kutulia na mke wake wa ndoa na hivyo ndivyo Mwenyezi MUNGU alivyopanga iwe.Kwa hiyo unadhani anajiuza Mkuu? Basi mfate PM uongee naye bei.
Na mimi nilikushangaa kuanza kumzungumzia mke wangu kwamba anafanya matangazo ya biashara. Hivi wewe ungefurahia?Mkuu kuna vitu vya kununua hapa duniani lakini sio "dudu". Kwanini nitumie gharama kubwa kununua dhambi?? MUNGU hakunileta hapa duniani ili nije ninunue "dudu". Kila mwanamume anapaswa kutulia na mke wake wa ndoa na hivyo ndivyo Mwenyezi MUNGU alivyopanga iwe.
Mkuu kama huyo ni mkeo na anarusha picha zake humu JF ili kuwaonyesha watu uzuri wa sura yake huku shati aliyovaa ikiwa imefunguliwa vifungo, basi tambua kwamba she is in the wrong place, at the wrong time, doing wrong things. Dunia imejaa mbwa mwitu wakali sana, unapomuachia Sungura wako mbele ya mbwa mwitu, akiraruliwa usilalamike. Adamu angejua Hawa atadanganywa na nyoka kirahisi, nadhani asingemruhusu kutembea peke yake Bustanini na ku interact na viumbe wengine. Kama vile nyoka alivyokuwa mjanja na mwerevu, pia kuna watu humu JF ni wajanja sana na waerevu kukuzidi wewe. Haya shauri yako. Na wanawake wanawapenda sana watu wajanja wajanja.Na mimi nilikushangaa kuanza kumzungumzia mke wangu kwamba anafanya matangazo ya biashara. Hivi wewe ungefurahia?
[emoji39] [emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aseee dah umenifanya nicheke tu...
Usidanganyike huyo siyo yeye...Huwa sina tamaa ya kuwazoea wadada kweny social networks.Kwako nimetaman nikuzoee
Hat kama sio yeye.Bas ndo nshampenda ivo ivo sasa!Usidanganyike huyo siyo yeye...
Wajanjawajanja kama domo?Mkuu kama huyo ni mkeo na anarusha picha zake humu JF ili kuwaonyesha watu uzuri wa sura yake huku shati aliyovaa ikiwa imefunguliwa vifungo, basi tambua kwamba she is in the wrong place, at the wrong time, doing wrong things. Dunia imejaa mbwa mwitu wakali sana, unapomuachia Sungura wako mbele ya mbwa mwitu, akiraruliwa usilalamike. Adamu angejua Hawa atadanganywa na nyoka kirahisi, nadhani asingemruhusu kutembea peke yake Bustanini na ku interact na viumbe wengine. Kama vile nyoka alivyokuwa mjanja na mwerevu, pia kuna watu humu JF ni wajanja sana na waerevu kukuzidi wewe. Haya shauri yako. Na wanawake wanawapenda sana watu wajanja wajanja.
hahaha bhas mkuu nimekoma,citokaa nirudie tenaaKuwa makini siku nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mlinzi/bodyguard John Cena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaha bhas mkuu nimekoma,citokaa nirudie tenaa
Kwahiyo nimezagaa...ilete hapa plus acc ya huyo alopost kama ni kweli...hyo picha uliyotumia avatar mbona zimezagaa sana fb?
Weka picha yako nyengine tofauti na hii ndio nitaaminiKwahiyo nimezagaa...ilete hapa plus acc ya huyo alopost kama ni kweli...
Balaa
Nini picha njoo Africana utaniona live mkuu...Weka picha yako nyengine tofauti na hii ndio nitaamini