Tangu niingie kwenye kubet adi sasa sijapata faida yoyote Zaid ya hasara kila nikisomaga post xozote za kuhusu kuifaidi betting karbu wote wanasemaga usiweke timu nyigi odds 2 tu zinatosha Ayo yote nimefanya lakn n vipigo tu option zote kwenyr football nimezijarbu lakn hakuna tofaut nikahama kwenye basketball Mambo n Yale Yale tu unaweka 0ver 150 na wao point zinaishia hapo hapo kwenye 150 unabaki kujuta tu. Ambao mshajitafuta mkajipata hebu mtueleweshe na wengne na michezo ambayo Ina afadhali maana hapa nishajarbu Zaid ya michezo minne valleyball.basketball .futsal.ice hockey.football aise Hali n mbaya tu japo huwa najipa Sheria Kali akuna kuzidisha oddds2 lakn wapi nkipigo tu
Cha kwanza hakuna kampuni ya betting yenye kuweza kutajirisha kila MTU!
Ukikaa na, simu yako unapokuwa una bet, unajiona kama upo peke yqko kwenye game, ! Mpo, zaidi, ya, milioni +na, kila, MTU anawaza, awe milionea! Ni akili za, hovyo Sana!
Kwa, watu wenye mkwanja mnene,betting is just a game, kuna jamaa huwa, nawakuta le grande casino, dar, wanacheza kamari,wale hata wakiliwa milioni 500,kwao, sio, ishu, kubwa, ni, peanut tu! Ila, wewe apeche alolo! Utegemee ka salary kako, kufanya betting, ni kujizika