Nimejitoa mitandao yote ya kijamii nimebakia JF tu.

You tube sipo addicted sana nayo sana kule naenda kwa sababu maalum. N


You tube sipo addicted sana nayo sana kule naenda kwa sababu maalum. Mara nyingi kwenda kujifunza tu.
 
Kwa nyie vijana kutoka sio rahisi mpake ujitathimini sana ..wamesha waprogramm .wanavesha wanavyotaka wao mitindo ya nywele kucheza we ushangai dunia nzima munachezeshwa style mmoja
Jamani hata usemeje mm sitoki maana huko ndio pananifanya niitwe Rayvanny
 
Naomba nielekezwe jinsi ya kudelete Facebook account

Nenda pale kweny FAQ andika "how to permanent delete my account" watakupa options mbili either to deactivate or delete chagua delete but utasubiri 14 days ili account yako ifutwe kabisa so hizo siku 14 zote account yako itakuwa temporary deactivated in case you change your mind, na baada ya hizo siku 14 itakuwa deleted permanently...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…