mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,695
Habari wanandugu wenzangu wa chama cha wapiga punyeto Tanzania baada ya muda mrefu kuwa kiongozi mojawapo wa hiki chama nimeamua kujitoa Rasmi CHAPUTA hapo ni baada ya kupata mtoto mkali wa kipare na nimeamua kutulia naye,kwa hiyo nawashauri waliokuwa wanachama wenzangu kutafuta wenzetu ili tuweze kutulia nao na kupunguza stress za hapa na pale,,Naahidi kuwa naye muda wote ili nisije nikaingia tena kwenye hiki chama kwa mara nyingine tena.
Asanteni
Asanteni