Nimejitoa rasmi kwenye mijadala ya siasa mitandaoni

Mimi kama wewe mkuu sijawahi kuwa mwanachama wa Chama chochote nchi hii, nimekuwa navutiwa na wanasiasa wanaosimama kutetea Tanzania, mwisho nimegundua hakuna mwanasiasa anaetetea nchi wala nini, kumbe wanatetea matumbo yao tu
 
Uwa nawaambia siku zote hakuna watu wanafiki na wasanii kama wanasiasa,
nakushauri ww baki kama mwananchi huru na simamia unachoona kinafaa kwa nchi yako kama ni ccm,cuf,act au chademaa
 
Nenda jukwaa la dini kabisa.Kwani hujui siasa yetu kama kumchinja kobe kunahitaji timing
 
Hili juma lina mambo mengi ya kufundisha na kuwafunilia watu maana na hali ya siasa nchini.

Tafakuri pana itasaidia
 
Ila unafiki raha sana, unawadanganya manyumbu then we unapiga dili refer zitto,polepole,kitila
 
Mkuu bila shaka baada ya masaa 24 utakuwa umetafakari vya kutosha na kurudi, siasa ni ajira kama ilivyo ajira kwa hapa kwetu Tanzania, kuna kila aina ya mbinu ya kuhakikisha kila upande unmu-win mwenzake. Hiyo ilikuwa mbinu ya kisiasa tu mkuu
 
Mkuu mleta Mada ana point...ww cjui kwa nn unamshambulia...yeye kaleta mpaka ushahd wa ku support hoja zake...

Is better if u think twice...labda nam nifkrishe hakir hiv ndege inaporuka inakua within kwenye speed ya Dunia wakat tayar imeshaiacha surface ya Dunia...

Japo n cku nying nmeyasoma haya kwenye advanced level...hiv escape velocity ilimanisha nn.vs speed ya Dunia...?

Tukumbuke Dunia Ina tembea Katka different speed.. Yaan Katka mhil wake as Ina undergo rotation, na Katka revolution pia Ina speed yake....

Je ndege inapokua angan vp gravitional force...? Unataka kuniambia central fugal force na central petal force havko applied hapa.....! Nafkr mnaosoma physics na kufanya research tunaomba msaada...
Mkuu huu uzi ndio wa mwisho kuchangia siasa, sijaona kiongozi ambae sio mnafiki sasa nimejiridhisha,
Zitto alipokuwa akishutumiwa mitandaoni kuwa msaliti nilimtetea sana, sasa nimethibitisha unafiki wake
 

Wanasiasa wa Tanzania wako kwa ajili ya kuneemesha matumbo yao. Ni biashara.
 
Mkuu huu uzi ndio wa mwisho kuchangia siasa, sijaona kiongozi ambae sio mnafiki sasa nimejiridhisha,
Zitto alipokuwa akishutumiwa mitandaoni kuwa msaliti nilimtetea sana, sasa nimethibitisha unafiki wake
Mkuu zzto kawaje tena....? Kabla ya kumshambulia zzto jaribu kumshambulia mbowe na team yake ya kumtelekeza slaa...impact ya kitila n ndogo sana kuliko upuuz uliofanywa na mbowe kumleta lowassa cdm na kumpa nafac kubwa kama hyo ndan ya mwez mmoja...think big bro...achana na siasa kabsa kama uko too emotional... Utakufa Bure zile n kaz za watu....
 
Ww ndo mnafk mkubwa kabsa....unataja upuuz tupu...hiv Dr.alikuaje...? Mlimtumia kama chupi Kisha mkamtupa kule Sasa hatujui hata msimamo wa upinzan... Hakir ndogo cku zote huwa n mbaya sana..hiv lowassa alikua n bora kuliko Dr.slaa...? Jaribu kufkr kwa hakr ya kibinadam ungekua ww n Dr.slaa ungefanya nn baada ya kutelekezwa...?

Huyu jamaa alikua mpambanaji hakika yeye ndie alikua chadema...mbowe mpuuz sana...ctasahau alichonifanyia... Nashukuru mungu hata kura ckupga baada ya unafk mkuu kuliko wote Katka siasa...withn 1month mtu anakabidhiwa chama kupeperusha bendera.... Hakika mungu anatuona
 
Nadhani utakuwa member wa muda mrefu pitia michango yangu ya 2015 kuhusu lowassa wala sijawahi kubadilika, niliwaambia wakati ule ni bora uingie vitani na manati yako kuliko kuazima bunduki kwa jirani
 
Siasa zetu ukizifuatilia sana zinaweza zikakudatisha
 
Mleta Uzi, umejitoa siasa za mitandaoni, majukwaani utashiriki?
Pole sana.Siasa ni Sayansi. Siasa ni Art.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…