Nimejitoa rasmi kwenye mijadala ya siasa mitandaoni

Nimejitoa rasmi kwenye mijadala ya siasa mitandaoni

Kwa hali hii ya watu kususa aliyoyasema magu ya kuusambaratisha upunza kabla ya 2020 yanawezekana
Nashangaa wengi wanashindwa kun'gamua kuwa teuzi hii ni muendelezo wa jitihada za ccm kudhoofisha upinzani from the inside,ilianza kwa slaa,akafuatia lipumba saiz ACT, CUF imeanza kupoteza momentum na credibility iliyoipata katika uchaguzi,propesa ameshakitawanyisha chama,sasa kuna CUF A na CUF B.chadema is next.
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Kwanza Kitila siyo mpinzani kwa maana ya vyama vya upinzani ni mradi wa ccm kwa kuua vyama vya upinzani, hivyo Kitila ni Ccm na aliyemteua ni Ccm.
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
Kwa nyongeza tu, juzi walimjia juu Rais hakuzingatia jenda ktk viti maalum. Leo wanaambiwa wazingatie genda wanataka kwenda mahakamani, watu walisema nikishindwa uchaguzi naacha siasa leo wanapanga mikakati ya uchaguzi ujao, watu walidai miaka nenda maiaka ludi nanihii fisadi, leo wanasema kama mna ushahidi nendeni mahakamani. Watu walisema serikali lege lege haiweze kukusanya kodi, leo wanasema wafanyabiashara wanaonewa. juzi juzi walidai wanataka rais mchapa kazi, leo dikteta uchwara. Mi nakuunga mkono ndugu yangu siasa ni pasua kichwa, bora umuamini mtoto wa miaka mitatu akisema anaacha kula pipi, kuliko wanasiasa wa bongo land.
 
Nashangaa wengi wanashindwa kun'gamua kuwa teuzi hii ni muendelezo wa jitihada za ccm kudhoofisha upinzani from the inside,ilianza kwa slaa,akafuatia lipumba saiz ACT, CUF imeanza kupoteza momentum na credibility iliyoipata katika uchaguzi,propesa ameshakitawanyisha chama,sasa kuna CUF A na CUF B.chadema is next.
Mi nauliza akidhoofisha upinzani ndiyo maendeleo tunayoyataka ?!
 
Nilishachukua hayo maamuzi kitambo sana, nafanya mambo yangu [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mi nauliza akidhoofisha upinzani ndiyo maendeleo tunayoyataka ?!
Hicho Sio kipaumbele chao CCM,wangekuwa na nia ya zati ya kutuletea maendeleo ndani ya miaka hamsini ya utawala wao tungekuwa tumeshayapata.wanajua kabisa mtaji wao ni masikini na wasioelimika ,hawa wakipungua basi na wao wamekwisha.
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Na bado mpo wengi kweli...
2020 kaa kumsukuma Mleviii.
Mie Mwenyewe Gia ya angani iliniumagaaaa[emoji36] [emoji36]
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
Mbona hujaongelea waliomshangilia JK bungeni huku wakibubujikwa na machozi ilhali muda wote wa uongozi wake walikuwa wakimkashifu?
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
Ukirudi tena tukufanyeje?
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
tumekuelewa mkuu ila unaonaje hili la kitila kuteuliwa,limekaa poa au halipo sawa. na vipi wabunge kutoa lugha za vijiweni kule mjengoni mkuu
 
Binafsi nimekosa cha kuongea,
Siasa zetu zimejaa unafiki kwa kiwango cha PhD,
Sikutegemea kama wanasiasa wetu wamekuwa wanafiki mpaka wanakuwa wasahaulifu mapema kiasi hiki,
Mkuu alisema hatashirikisha wapinzani kwenye serikali yake kamwe,
Ajabu kasahau kajisahaulisha au imekuwaje kifupi sielewi,

Kitila juzi tu hapa hata miezi 2 haijapita alikuwa akilalamika Rais anateuwa sana wahadhiri na sasa Kuna upungufu wa wahadhiri, ajabu yeye sijui ni mwalimu wa chekechea au vipi,
Majuzi hapa alikuwa anatokwa povu kwa Rais kwanini hajamtumbua makonda tena akaenda mbali zaidi kuhoji ukaribu wa makonda na Rais una nini?
Sitaki kumzungumzia Zitto kaonyesha unafikia wa Hali ya juu pia, kisa Rais kumteua mkumbo basi amepewa na sifa ya Rais wa kuwaunganisha watanzania Bila kujali vyama vyao,

Jamani sasa mtaniona kwenye michango ya chit chat na MMU

Mods mkiona comment yangu kwenye siasa nipeni BAN
Mwenyewe sipendi siasa ila kutokana na kazi ninayoifanya habari za siasa lazima nikutane nazo aisee...ila siasa na yenyewe ni kama drug flani hivi...mfano mimi siipendi CCM,na Chadema wenyewe wanazinguaga ila kuwakacha siwezi mkuu...never say never utarudi tu bro kama ulikua mdau kindaki ndaki
 
Mkuu huu uzi ndio wa mwisho kuchangia siasa, sijaona kiongozi ambae sio mnafiki sasa nimejiridhisha,
Zitto alipokuwa akishutumiwa mitandaoni kuwa msaliti nilimtetea sana, sasa nimethibitisha unafiki wake
Nahisi na mimi ndipo ninapoelekea kuchukua maamuzi hayo, muda ndio utaongea.
 
Back
Top Bottom