Kwanza nikiri timu yangu inahitaji kusajili sana wakati wa dirisha dogo.
Lakini kitu cha kushangaza ni kwa nini Peter Banda anaanzia benchi mechi nyingi?
Nashukuru Mungu leo tayari gepu la point 5 na utopolo na hapo tumeshaaga mbio za ubingwa kabda kama watafuzu makundi leo. Maana wasipofuzu,nguvu zote wanahamishia kwenye ligi.
Watakuwa na muda mzuri wa kupumzika, watatembeza pesa vizuri, watashinda mechi ya raundi ya pili na Simba, watachukua tena kikombe.
Walimu wetu wana nini na wachezaji wa nje?
Lakini kitu cha kushangaza ni kwa nini Peter Banda anaanzia benchi mechi nyingi?
Nashukuru Mungu leo tayari gepu la point 5 na utopolo na hapo tumeshaaga mbio za ubingwa kabda kama watafuzu makundi leo. Maana wasipofuzu,nguvu zote wanahamishia kwenye ligi.
Watakuwa na muda mzuri wa kupumzika, watatembeza pesa vizuri, watashinda mechi ya raundi ya pili na Simba, watachukua tena kikombe.
Walimu wetu wana nini na wachezaji wa nje?