Nimejiuliza sana hili swali kuhusiana na Jf

Hata vyama vya siasa vina wanachama wengi lakini wanao hutubia kwenye jukwaa ni wachache.
 
Uliza kwanza kwann kuna"MAKAPUKU FORUM ndo utajua kwann watu hawapend kupost
 
Uliza kwanza kwann kuna"MAKAPUKU FORUM ndo utajua kwann watu hawapend kupost
Mkuu hata mimi nimewahi kujiuliza sana kuhusu ile forum ila sijawahi kupata jibu.....naona ina wafuasi kibao, kama kuna muhusika anijulishe plz.
 
Mkuu hata mimi nimewahi kujiuliza sana kuhusu ile forum ila sijawahi kupata jibu.....naona ina wafuasi kibao, kama kuna muhusika anijulishe plz.
Kuna watu wanadharau umu ndan !Mtu akichangia kitu wanaanza kumdis et"kwanza we co Great thinker umejiunga juz tu" yan inaonekana ulichochangia hakina maana kisa we co mkongwe wa jf .Sas huko ni kukatishana tamaa hata mtu akiwa na chakupost anawaz mara mbili aamua kupotezea.Baada ya hapo naona wale ambao hawajabobea jf wakaamua kujiita makapuku
 
Lol! kweli umoja ni nguvu na mnyonge hafi kirahisi.....ile ni kati ya thread kuntu sana hapa jf....asante kwa kunijuisha mpendwa.
 
Umenena vyema mkuu
 
Kuna dhambi ya ubaguzi na utengano inaanza kutafuna jf,wengine makapuku,wengine wakongwe nk! Hii si sawaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…