Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaaKaribu uendelee kufurahia na kujifunza yaliyomo humu JF kwetu
Wakubwa shikamooniTo a heshima kwa wakubwa zako maana ndo kwanza new member
[emoji23][emoji23] soonMosha unakwama wapi? weka picha.
Thanks much [emoji1666]Karibu JF, the only place where we used to talk openly. Things are no longer the same
Asante Mkuu [emoji1666]Karibu mkuu
[emoji23][emoji23]Picha zenye ukubwa kuzidi za passport ameleta?
Tutakuongezea ucjali[emoji23][emoji23] alafu ndo kwanza 2020 bado
Hakika saiv nimekua addicted kabisaMkubwa ni hivi ..Jf ndo best social media app ..kwa watu wanaopenda kujifunza...
Asante sana mkuuKaribu sana
Hapana ni chama cha watu wote ndio maana kwenye mgawanyo wa madaraka viongozi mbali mbali sio wachaga mfano Antipas Lissu, Mnyika na wengineNakuuliza swali kuna vimbwenga vinadai chadema ni ya wachaga ni kweli ? Mimi ni muha wa kigoma kwa sasa niko GREEN CITY MBEYA