Chase your dreams
Member
- Jul 27, 2024
- 87
- 630
Yepi ndo niniNitegemeee mazuri yepi
😂😂😂😂Yepi ndo nini
Umesoma ID ya huyo member lakini? Anajiita hayakuhusu-Karibu.
Watu tuna depression humu usijaribu kujibizana na watu, jifunze kulet it go.
Kama wewe ni ME humu hamna demu wote ni mamen ata ukiona mtu anasema "jomon" ni tapeli. Kama wewe ni KE huku kuna gonorrhea.
Usitume nauli.
Sasa hapo utakua umevunja rekodi iliyokua inashikiliwa na nani? Yani uwe mwanamke wa kwanza kujiunga jf halafu uwe umevunja rekodi?Kama Humu hamn wanawake Ina maana mm nitakuwa mwanamke WA kwanza Tz kujiunga jf
Nimevunja rekodi🙏
Nyamwi again dah hii noma sanaHeloooo....View attachment 3053560
Nina Furaha kuuuubwa
sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker"
Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
Private messages.Pm ndo nini
Nyamwi hii ID ya ngapi unaifungua?Mi
Mimi ni mwanamke
Hata wewe unaweza kua tajiri pia kama hutakua na majivuno,njoo pm nawe uwe tajiri wa jf.Duh...Yan mm tu ndo masikini?
Usijali sisi tutakuchangia mtaji,kwani unajishughilisha na nini!!?Duh...Yan mm tu ndo masikini?