Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Huyu ni nyamwi sio KitombileMazuri ya humu hayakuhusu-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni nyamwi sio KitombileMazuri ya humu hayakuhusu-
Kwasasa haiwezekani,mpaka baada ya wiki mbili,kwasasa tunaangalia mwenendo wako hapa JF,ila usiwe na shaka,suala lako lipo juu ya meza tayari.Badilisha jina Sofia lajab
Dadek nyamwi sasa hivi unajiita Sofia lajabuAlihe nifungulia fungua akaunt katumia email yake kanipa.pswed m sio jina lang Hilo mm Sofia lajab adimini badilisha
Jifundishe kutumia PM ili unipe maelezo kamili pamoja ya picha,nikamilishe zoezi.
Ebwanawee imeli waaaa umeimwaga nje
Naona kuna mtu hapa anakudanganya sana, sasa huu ni ujumbe wangu wa mwisho kwako na nshakuambia kuna baadhi ya mambo hutoweza kuyafanya humu usipolipia malipo ya uanachama wako wa JF kama kubadili majina yako.Alihe nifungulia fungua akaunt katumia email yake kanipa.pswed m sio jina lang Hilo mm Sofia lajab adimini badilisha
Nyamwi acha kutufanya sisi viaziPM NI NINI
Wow, vipi queen uko pouwa? Niandikie message tafadhaliMi
Mimi ni mwanamke
Angalia hapo juu utaona kuna kialama cha Bahasha,ingia humo ufuate maelekezo.PM NI NINI
Pokea simu basi.Niandikie ww mesej kwa namba yangu 0624901243
Kaazi kwelikweli 🤣🤣🤣🤣Niandikie ww mesej kwa namba yangu 0624901243
Haturuhusu watu kuandika namba zao hapa mana kuna matapeli wengi, mpaka hapa naona ushaanza kuvunja sheria za JF na hii n onyo la mwisho kwako, kumbuka hara bado hujalipia uanachama wako na tayari ushaanza kufanya mnakosaNiandikie ww mesej kwa namba yangu 0624901243
Huu n mtihani aisee 😂Kaazi kwelikweli 🤣🤣🤣🤣
Pambana mpaka kieleweke, zigo lako hilo 🤣🤣🤣Huu n mtihani aisee 😂
Watu mna majibu 🤣🤣🤣Sasa hapo utakua umevunja rekodi iliyokua inashikiliwa na nani? Yani uwe mwanamke wa kwanza kujiunga jf halafu uwe umevunja rekodi?
Au hujui kutofautisha kati ya kuvunja rekodi na kuweka rekodi?
Acha kusikiliza vitisho vya wafagia ofisi zetu,fuata maelekezo yangu pekee.Ifute
Gusa jina langu hapo halafu utaona kipengele cha start conversation halfu Andika ujumbe wako utanifikiaPM NI NINI
Karibu pm upate majibu mengine mazuri zaidi ambayo hua siyaweki hapa.Watu mna majibu 🤣🤣🤣