Nimejiunga rasmii

Nimejiunga rasmii

ErickjrJunior

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2015
Posts
328
Reaction score
78
Toka Miaka Ya Nyuma Naikubal JF Ila Sikua Member......Kuna Muda Nilikua Nikijiunga Aileti Majibu!! This Time Iwon!!!!! Naomba Kukaribishwa Na Members Wenyeji.........
 
Karibu sana..ila usiandike kifacebook humu...zile xaxa badala ya sasa huku hapana!
 
Karibu sana..ila usiandike kifacebook humu...zile xaxa badala ya sasa huku hapana!
Asante Ndugu....Ila Ungejua Sipendi Hiyo Kitu.....Nachukia Mtu Akitumia X Badala Ya S Au Mtu Anitumie Msg Aanze Na Neno 'Oya' Sipendii.......
 
Karibu sana..ila usiandike kifacebook humu...zile xaxa badala ya sasa huku hapana!

Mkuu hizi tabia za hawa watoto wanaona sifa wakati ni upumbavu tu.
Mdogo wangu alinipa taabu kumrekebisha maana alikua akinitext simjibu kabisa, hadi sasa kanyooka tena anawaona wale wenzie wanaotumia hizo xaxa zao wajinga.
 
Mkuu hizi tabia za hawa watoto wanaona sifa wakati ni upumbavu tu.
Mdogo wangu alinipa taabu kumrekebisha maana alikua akinitext simjibu kabisa, hadi sasa kanyooka tena anawaona wale wenzie wanaotumia hizo xaxa zao wajinga.

Ulifanya vizuri kutokumjibu hadi akarekebika na yeye atawarekebisha wengine!inachefuaga sana..
 
Toka Miaka Ya Nyuma Naikubal JF Ila Sikua Member......Kuna Muda Nilikua Nikijiunga Aileti Majibu!! This Time Iwon!!!!! Naomba Kukaribishwa Na Members Wenyeji.........

Karibu!
Lakini zingatia uandishi wako. Uwe unamalizia maneno mfano..
Naikubal=Naikubali
Aileti=Haileti.
 
Toka Miaka Ya Nyuma Naikubal JF Ila Sikua Member......Kuna Muda Nilikua Nikijiunga Aileti Majibu!! This Time Iwon!!!!! Naomba Kukaribishwa Na Members Wenyeji.........

Nami pia natangaza kujiunga rasmi na JF, nawaombeni mnipe tyusheni kwa lolote mtakaloona nakosea kwa kutojua. Nimegundua ni mengi.
Eid Mubarak.
 
Watu8 upo wapi karbu karibu mgeni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom