Nimekaa kwenye mahusiano miezi 7 na mtu ambaye sikudhania

Malizia hapa. Wanadau wanataka kujua..

Je, mlikulana? Basi na story iishie hapo.. Mengine tutajiongeza..
 
Kama nakuona stimu ilivyokata baada ya kugundua ulichanganya mafile! Pole sana mkuu
Kwahyo mkaanzisha mahusiano au ndio mkaishia hapo?
 
Kama nakuona stimu ilivyokata baada ya kugundua ulichanganya mafile! Pole sana mkuu
Kwahyo mkaanzisha mahusiano au ndio mkaishia hapo?
Rudi kwenye uzi boss nmeuendeleza kidogo. Am sorry lakini kwa usumbufuπŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…