π π πTusubiri ripoti ya sieijii
Kama nakuona stimu ilivyokata baada ya kugundua ulichanganya mafile! Pole sana mkuuNlipigwa na butwaa Kwanzaa, nkamuambia ndio wewe akanambia hunijui kwani? Nkasema nmeshakukumbuka ila umebadilika dear moyoni nkijua kabisa sio yeye. Nlijiadjust tu story nyingi huku furaha ya kupindukia nlikuwa nayo. Ila tulikaa nae baada ya kuzoeana nlimueleza kisa chote akabak anatabasamu tu. Ila alikiri kuwa hata yeye alipata waswas nyuma kwa kuwa aligundua kama nlimchanganya. But haikuwa suala kwake maana alinipenda pia
[emoji23][emoji23][emoji23] Unapenda sana stori za kunyanduana sio?Stori ndiyo imeshia hapa ama tuendelee kusubiri? Mbona sijaona sehemu ya mnyanduano ama mlipanga hadi mtakapofunga ndoa?[emoji12]