Nimekaa muda mrefu bila mahusiano ila sasa kuna mwanaume ananitaka na mimi sijavutiwa naye

Nimekaa muda mrefu bila mahusiano ila sasa kuna mwanaume ananitaka na mimi sijavutiwa naye

Ila dah!
Sijalazimishwa kuwepo hapa,
Acha tu nikutane na nayokutana nayo.
 
Jamani nifanyeje na Mimi nataka kutulia na mwanaume wangu ambaye hajulikani nilikuwa na mwanaume ambaye alijitambulisha hadi nyumbani.

Lakini badae akaanza kuninyanyasa kimapenzi kunisaliti na kuitoa tu thamani yangu akaniona simfai, sasa kuna mwanaume anaonesha dalili ya kuwa na
Ushauri wangu kwako ni huu,ufate moyo wako unavyosema.
 
Wanawake siku mkija kupata akili, mtakuta mna makovu na sugu zisizofutika kwenye via vyenu vya uzazi
 
Njoo kwangu, umenitamanisha kwenye Ile post yako na lecturer kwenye ule Uzi pendwa [emoji7]
 
Kupenda ni kazi ya mwanaume, kuheshimu na kutii ni kazi ya mwanamke.

Hakuna sehemu katika vitabu vya MUNGU wamesema wanawake wapendeni wanaume zenu na ninyi wanaume watiini na kuwaheshimu wake zenu.

Naona mabinti siku hizi mnafanya kila kitu kinyume ndio maana na ninyi maisha yanawapa matokeo kinyume.
 
Yule lecturer ameishia wapi?
Jamani nifanyeje na Mimi nataka kutulia na mwanaume wangu ambaye hajulikani nilikuwa na mwanaume ambaye alijitambulisha hadi nyumbani.

Lakini badae akaanza kuninyanyasa kimapenzi kunisaliti na kuitoa tu thamani yangu akaniona simfai, sasa kuna mwanaume anaonesha dalili ya kuwa na mimi ila mi binafsi roho haijampenda nifanyeje na ninatamani kuwa na mwanaume saizi....

Yeye kapanda sana halafu mnene sasa Mimi uwa napenda mwanaume ambaye yuko simple simple ili tuendane Mimi sio mrefu sio mfupi maji ya kunde, yeye mweupe mnene amepanda juu........

Naombeni ushauri unajua kuna urefu ambao unavutia ila urefu wa uyu naona ni mngongoti sio msukuma ata ila basi tu nature yake.
 
Nijaribu mii hutajuta,mapenzi na heshima vyote utapata
 
Back
Top Bottom