Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
😀😀😀😀😀😀😀😀 kaa na dushe lako huko nani ajeeAcha kulialia njo pm kwangu basi
😀😀😀😀😀😀😀😀 kaa na dushe lako huko nani ajee
Hiyo kazi nawaachia wenzangu maselaWe mtumie mpunga wa Supu ya samaki asubuhi utaitwa PM haraka
Umeogopa mkwara, we nenda PM kajililie huko unaweza ukahurumiwa😀😀😀😀😀😀😀😀 kaa na dushe lako huko nani ajee
Fresh, ngoja nikawakilishe wanaUmeogopa mkwara, we nenda PM kajililie huko unaweza ukahurumiwa
Haya pambana na mawivu yakoHaki ya Mungu sina nyege. Kwanza mi kupata nyege wakati sina bby sio jambo rahisi
Hao ni waigizaji tu wala wasikutishe mamaKukaa single muda mrefu kunaleta karoho Fulani ka Husda hivi. Hii kapo naionea wivu live. Inanikumbusha enzi Niko in love na my college sweetheart.
Haki kubebishana kwao kumenifanya nigutuke nachokimiss kwa kutokua na Bebe.
BAsi utakua ni side chickHahahahahaaa. Mimi Niko single but not single single
Wanaopendana kiukweli huwa hawafanyi hivyo hadharani ukiona hivyo ujue ndani ni vita wakitoka nje ndo wanajaribu kuptrend ili waonekane wanapendana!Nashukuru kwa kunipa moyo my dear