Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Siku tukiachana ujue nitatumia means hiyo hiyo.. Na uzuri sisi tuna miaka mingi
Hii tuliyonayo hainaga kuachana zaidi ya kufariki tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku tukiachana ujue nitatumia means hiyo hiyo.. Na uzuri sisi tuna miaka mingi
Hii tuliyonayo hainaga kuachana zaidi ya kufariki tu..
jamani hivi ni sahihi kweli umekuwa ktk mahusiano tena si ya ndoa wala uchumba na mwanamke kwa miezi sita tu na mkaja kukorofishana kisha baadae anakwenda kukushitaki mahakamani kuwa anataka mgawane mali kwakuwa mmechuma wote. je kisheria hii imekaaje?
karibuni.
ndio sheria zetu hizo. . ndoa sio mpaka uwe na cheti . . ila mtu akifa ukija kwenye mirathi watadai cheti daaa ni hatari sana.