Asante Kamanda! Unaweza kuwa baba upande wa mume harusi in 10 years, tuombeane heri. Ushanifahamu?
...bora umewahi kusema, nami nilitaka kumwambia same thing,
Ukishajifunga ile pingu ya maisha 'utasilimu' mwenyewe!...
acha mchezo na 'chatu'... eti amekuhalalishia TiGo, na nguruwe atakupikia...
Subiri umezwe mzima mzima!
Mapenzi si upofu, ni kuchagua tu kutoangalia.
(...BJ keshabwagwa maskini...🙁)
BJ alikuwa wa JF jamani huyu ni wa life!
...🙁 past tense hiyo mazee,...!
Mkubwa, kama roho inataka jichukulie jumla jumla bana,
maisha yenyewe haya haya, watoto watachangua wenyewe dini waitakayo kwa imani watazojaaliwa. Mungu si Mmoja bana? au wewe unaamini watatu?
Kila la kheri!
Ahsante sana Mkuu kwa kunipa heshima kubwa sana, lakini naona imenizidi kimo lakini kwenye majaliwa tutakuwa wote katika jambo hili la heri. Kwa maoni yangu kama huyu binti mnapendana kiasi hicho basi miaka 10 ya uBF na uGF ni mingi mno. Binti anaweza kukata tamaa mapema na kuingia mitini hasa ukitilia maanani biological clock ya wenzetu haina muda mrefu sana. Hebu lifikirie tena hili ili kupunguza kiwango hicho cha miaka 10 na labda kubakisha one third ya miaka hiyo. Kila la heri.
... wewe yaelekea hujafika Singida!
Mpwa Singida.....mmmhhh ila meno yao mzeee hata ukitumia strong bleach meno hayawi meupe!
BJ alikuwa wa JF jamani huyu ni wa life!
hapop hapo shem.....totozi za kizenji si mchezo.....namkumbuka MMOJA Fatmah kwanz akumsikiliza aleta raha!.....nakushauri eat and run sio wife material hao...Katika pilika pilika zangu za kimapenzi nimejikuta nimenaswa na penzi la mtoto wa Kizanzibar.
Aje kwenye PM yangu ruksa....Nimemuonya asije JF kuna wakorofi.....!
Masa,
Toka enzi za Makutu hadi leo bado unafikira kudate miaka 10? Kama bado upo upo naona mwanangu atakukuta. Utakuwa tayari niwe baba mkwe wako Mzenji akiingia mitini?
Hilo la dini liweke kando kwanza ili ushughulikie kitu kimoja kwanza. Utazua sintofamahamu na network inaweza katika ghafla. Kila la heri Bro!
Haya maadili nimeyapenda sana Ndugu yangu MasaKatika pilika pilika zangu za kimapenzi nimejikuta nimenaswa na penzi la mtoto wa Kizanzibar. Ni msomi anafanya shahada ya pili kwenye mambo ya Finance, nina maana ameenda shule! Anatoka familia yenye maadili. Ni mrembo. Mapenzi ni mwake, hakuna nilichokosa mara zote nilizokutana naye mechi zimekuwa zikiisha kwa suluhu na hakuna anayehitaji penalti wala msaada wa refarii.
Kuna tatizo moja, yeye ni muislam na mimi ni mkristo...tumejadili hili...anadai yeye haina shida. Kiti moto atakuwa ananipikia na hata kuoka. Nilimweleza siwezi kuacha pombe, yeye hajawahi kunywa ila akiwa na mimi namlazimisha walau sparkling wine robo glass, maana macho yake yanaita, chuchu embe tango, tiGo imo ya kutosha kwa kweli ni mrembo. Ukiweka na kiswahili chake cha Kizanzibar Masa nazimia. Nimemuonya asije JF kuna wakorofi.....!
Mabibi na mabwana hii imekaaje? hasa kwenye suala la dini...nisingependa abadili wala mimi nibadili. Sasa tukipata mtoto (Morgan Tsvangirai)
Malezi yake yatakuwaje? Huyu Mzanzibar tunaendana sana na hili la mahusiano yetu bila shaaa tutazidisha dumisha muungano, ule ufa tutauziba.
Any advise wakubwa.....
NB: Kibunango kuanzia leo mimi shemejio!
Haya maadili nimeyapenda sana Ndugu yangu Masa
hapo kwenye nyekundu please please please please please dont entertain that kwasababu itakuja kula kwako one day kama kweli umeintend aje kuwa your wife, yamewakuta watu haya walikuta wachumba baadae wake zao hawanywi wakaanza kuwalobby wanywe japo red wine, baadae wakaja kuwa maexpert kwenye kutandika mitungi na ndio wameingia ndani kama wake, walijuta na wanaendelea kujuta, wakiuliza wanajibiwa SI ULINIFUNDISHA MWENYEWE NILIKUOMBA? NIACHE KWA RAHA ZANGU BABU WEWEE!