Nimekamatika uswazi

Nimekamatika uswazi

Itabidi nikubali 2 maana nina stress imejaa gunia, lakini hapo kwenye ratio mmmmmh! roho inauma roho inauma lakini wivu sina, when is the big day???????
duh!
nimeshakamata kifaa hivi hivi!lol

sasa hiyo big day unamaana gan?
enewei tunaweza kwenda PI-EMU TAFADHAL?😀
 
Lily Maua, nilikushauri utulie kwanza sasa hayo mastress yanakokupeleka nina wasiwasi! Unahitaji kuwa na plan jinsi ya kuishi katika hii transition period, vinginevyo utarudi tena unataka ushauri !.
 
we acha tu sasa hivi nina tele conference naye kutoka loitokitoki!
Hehehe! Haya bana! Angalia asikufanzie mpaka kwa mtandao! Watakucheka watu hapo kwa ankali! LOL!
 
C U THERE!!! kwa msisitizo
hehehehe!
dah!wadau nadhani wenyewe mmethibitisha kijana wenu ninatisha KWA KUDUMISHA MILA!

napotea kidogo nitakuwa PM na shemeji yenu wa pili,LF!😀
CIAO
 
hehehehe!
dah!wadau nadhani wenyewe mmethibitisha kijana wenu ninatisha KWA KUDUMISHA MILA!

napotea kidogo nitakuwa PM na shemeji yenu wa pili,LF!😀
CIAO

Afu we unaniuzigi kweli. Na umri huo ndio unatafuta wa pili leo? Mila zitakushinda sasa!
 
hehehehe!
dah!wadau nadhani wenyewe mmethibitisha kijana wenu ninatisha KWA KUDUMISHA MILA!

napotea kidogo nitakuwa PM na shemeji yenu wa pili,LF!😀
CIAO

Ayi!!! so fast LF!!!!
 
Akiendelea na tabia nzuri nazaaa nae mtoto kabisa
Mkuu kuna kila dalili huko uswazi from day 1 ulianza kuungurumisha mashine sterio tupu.Taratibu mkuu bado tunakuhitaji humu JF!!
 
Mambo ya uswazi wakuu asikwambia n'tu nimekamatika kwa kifaa kimoja cha uswazi kinaishi Kigogo, ananiona mm kama ndo Boss wake maana matatizo madogo madogo ninamtatulia, aliniambia kodi ya chumba kwa mwezi 12000/= mm nikalipa ya mwaka mzima 144,000/= si mnakumbuka yule wa kulitachi alikuwa ananikamua 70 kwa wiki sasa huyu ndo hivyo naona nimeona pa kupumnzika, nikienda anapo ishi mimi naonekana kama baba mwenye nyumba. Kikubwa mtoto ameumbika balaa, mtoto amewiva naogopa hata kuwaonyesha hata wapwazi wasije wakanizidi dau maana pale ndipo pumnziko langu jipyaa. Mkiona nasema nipo Kigogo wapwa msishangae nipo kwa mtoto wa uswazi. Asili yake nitawatajia baadae maana napata uhondo wa hali ya juu.
Watoto wa uswazi wanalipa sana ndilo pumnziko langu la milele.
Mkuu, anakaa maeneo gani huku Kigogo? Mimi nakaa huku... si vibaya ukini-introduzi ili pale anapopata dharura ndogondogo za vijisenti wakati wewe uko mbali kidogo niwe namhudumia shemeji yangu kipenzi!
 
Mkuu, anakaa maeneo gani huku Kigogo? Mimi nakaa huku... si vibaya ukini-introduzi ili pale anapopata dharura ndogondogo za vijisenti wakati wewe uko mbali kidogo niwe namhudumia shemeji yangu kipenzi!

Mmmh! Huu ukarimu wako mbona kama umepitiliza?
 
Back
Top Bottom