Nimekamilisha kwa kiasi fulani nyumba yangu, nadhani ni muda wa kuvuta ndinga

Nimekamilisha kwa kiasi fulani nyumba yangu, nadhani ni muda wa kuvuta ndinga

Wakubwa mnaonaje..

Tayari nimehamia nataka nifanye maamuzi ya msingi kipi bora usafiri au mwanaume mwanamke wa umri wa makamobnimekutana nae namuhofia ingawa ananipenda sana. Namuhisi na magonjwa haya sina raha. Nimekuwa puzzled sijui niambie nini....

Mwisho, Wakuu nishukuru Dua zenu, naendelea vema, afya ya akili imetengemaa
Hiyo picha ya nyumba iko wapi?
 
Una vinasaba vya Ndugai! Hebu kabidhi nyumba kwa mwenyewe mzee
 
nakumbuka mara ya kwanza kufikiria kujenga nyumba, nilijenga ilipofika kwenye lenta, nikawa na hela nyingine mfukoni ghafla nikaona kuna kiwanja kizuriiii sehemu nyingine na cha bei ya chini, nikatumia ile hela kwenda kununua kiwanja hicho, nikaanza kujenga na chenyewe kufika kwenye lenta, nikaona bonge la uwanja sehemu nzuri jamaa anauza ana matatizo na ni hot keki na ni sehemu nzuri na uzunguni zaidi kuishi kuliko zile za awali, nikasimama unjenzi nikaenda kununua kiwanja hicho, kama zari la mentali kila nikifika, nikapata kiwanja kingine tena cha barabarani kwa ajili ya maduka. ilifika kipindi nikajikuta nina mapagale matatu na kiwanja mkononi na bado napanga.
Hii tamaa ilikua nayo, nmeacha rasmi mwaka huu
 
Wakubwa mnaonaje..

Tayari nimehamia nataka nifanye maamuzi ya msingi kipi bora usafiri au mwanaume mwanamke wa umri wa makamo nimekutana nae namuhofia ingawa ananipenda sana. Namuhisi na magonjwa haya sina raha. Nimekuwa puzzled sijui niambie nini.

Mwisho, Wakuu nishukuru Dua zenu, naendelea vema, afya ya akili imetengemaa
Naona bado hujapona maana kwa ulivyoandika ni dhahiri wahitajika kuendelea na matibabu!
 
Wakubwa mnaonaje..

Tayari nimehamia nataka nifanye maamuzi ya msingi kipi bora usafiri au mwanamke wa umri wa makamo nimekutana nae namuhofia ingawa ananipenda sana. Namuhisi na magonjwa haya sina raha. Nimekuwa puzzled sijui niambie nini.

Mwisho, Wakuu nishukuru Dua zenu, naendelea vema, afya ya akili imetengemaa
Kama huyo mwanamke anakuzidi umri kimbia, mbona wanawake wapo wengi huyo mwanamke ana kipi cha ziada? Atakuchuna ukifulia anakukimbia. Tafuta mwanamke unaemzidi hata 2-3yrs. Wa kuoa sio wa sogea tuishi.
 
Nakumbuka mara ya kwanza kufikiria kujenga nyumba, nilijenga ilipofika kwenye lenta, nikawa na hela nyingine mfukoni ghafla nikaona kuna kiwanja kizuriiii sehemu nyingine na cha bei ya chini, nikatumia ile hela kwenda kununua kiwanja hicho, nikaanza kujenga na chenyewe kufika kwenye lenta.

Nikaona bonge la uwanja sehemu nzuri jamaa anauza ana matatizo na ni hot keki na ni sehemu nzuri na uzunguni zaidi kuishi kuliko zile za awali, nikasimama unjenzi nikaenda kununua kiwanja hicho, kama zari la mentali kila nikifika, nikapata kiwanja kingine tena cha barabarani kwa ajili ya maduka. ilifika kipindi nikajikuta nina mapagale matatu na kiwanja mkononi na bado napanga.
Nimechekà kinouma mkuu .Hiyo ni laana mkuuu
 
Weka;
_ picha ya Ndinga,
_Picha ya huyo mwanamke wa makamo anayekupenda
-Picha ya nyumba

Ili Wakuu tukushauri sasa cha kuchagua kama ulivyoomba.
 
Nimechekà kinouma mkuu .Hiyo ni laana mkuuu
Laana gani wakati sasahivi nimepata nafasi ya kumalizia mijengo yote, na ninaimiliki yote. nafikiri n i hulka tu ya ujana kupenda kila unachokiona na kwa upande wangu ilifanyikwa kwa manufaa.
 
Wakubwa mnaonaje..

Tayari nimehamia nataka nifanye maamuzi ya msingi kipi bora usafiri au mwanamke wa umri wa makamo nimekutana nae namuhofia ingawa ananipenda sana. Namuhisi na magonjwa haya sina raha. Nimekuwa puzzled sijui niambie nini.

Mwisho, Wakuu nishukuru Dua zenu, naendelea vema, afya ya akili imetengemaa

Weka Picha ya Mjengo.

Unayotamani yote yatajiri endelea kuota.
 
Sijaelewa!
Hii ndio akaunti mpya hapa JF ya Deo Kisandu?
 
Back
Top Bottom