Nimekamilisha kwa kiasi fulani nyumba yangu, nadhani ni muda wa kuvuta ndinga

Hiyo picha ya nyumba iko wapi?
 
Una vinasaba vya Ndugai! Hebu kabidhi nyumba kwa mwenyewe mzee
 
Hii tamaa ilikua nayo, nmeacha rasmi mwaka huu
 
Naona bado hujapona maana kwa ulivyoandika ni dhahiri wahitajika kuendelea na matibabu!
 
Kama huyo mwanamke anakuzidi umri kimbia, mbona wanawake wapo wengi huyo mwanamke ana kipi cha ziada? Atakuchuna ukifulia anakukimbia. Tafuta mwanamke unaemzidi hata 2-3yrs. Wa kuoa sio wa sogea tuishi.
 
Nimechekà kinouma mkuu .Hiyo ni laana mkuuu
 
Weka;
_ picha ya Ndinga,
_Picha ya huyo mwanamke wa makamo anayekupenda
-Picha ya nyumba

Ili Wakuu tukushauri sasa cha kuchagua kama ulivyoomba.
 
Nimechekà kinouma mkuu .Hiyo ni laana mkuuu
Laana gani wakati sasahivi nimepata nafasi ya kumalizia mijengo yote, na ninaimiliki yote. nafikiri n i hulka tu ya ujana kupenda kila unachokiona na kwa upande wangu ilifanyikwa kwa manufaa.
 

Weka Picha ya Mjengo.

Unayotamani yote yatajiri endelea kuota.
 
Sijaelewa!
Hii ndio akaunti mpya hapa JF ya Deo Kisandu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…