Health service
Member
- Mar 8, 2014
- 60
- 11
- Thread starter
- #21
Vaa tu miwani hakuna jinsi matatizo mengine ya macho ni ya kurithi,mimi nina tatizo la kutokuona mbali miaka kumi sasa navaa miwani, madaktari hawashauri kufanyiwa operation na ujana utaharibu macho,operation ni kwa wazee wasioona sana.
Mkuu hayo magonjwa ya kurithi kwetu hakuna, na kama ingekuwa hivyo basi! ningezaliwa nayo.