Nimekata tamaa ya kupona .

Nimekata tamaa ya kupona .

Habari wa jukwaa letu la lfdoctor?
Jamani nimekata tamaa ya kupona macho, nimetembea kwenye hospital nyingi tu naambiwa hawaoni tatizo wananipa tu ushauri wa kula vyakula na matunda na pia kutumia miwani ili kurekebisha uono hafifu, hii ina maana kuwa hospital hakuna tiba ya macho zaidi ya kupewa miwani tu.
Mimi binafsi sipendi kutumia miwani bali ni kupona kabisa tatizo la macho, niliwahi kuambiwa nimechezewa lakini hata tiba za jadi hazijanisaidia zaidi ya kufuja pesa. naombeni ushauri wadau nifanyeje?
Tengeneza juisi ya Karoti uwe uankunywa kila siku macho yako yatarudi nuru yake na hutoweza tena kutumia miwani. tumia kisha uje unipe Feedback Health service

Ukiwa na swali unaweza kunitembela kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano ~ Mzizi Mkavu


 

Attachments

  • bigstockphoto_Carrot_Juice_3102016.jpg
    bigstockphoto_Carrot_Juice_3102016.jpg
    92.4 KB · Views: 150
Last edited by a moderator:
tumia mafuta ya mawese kuna jamaa yangu alikua na tatizo kana lako now havai miwani!
 
Mkuu kama unaona matumizi ya miwani hayafai, jifunze kupapasa na hudhuria shule ili uelewe kusoma maandishi ya vinundu!
Mi ushauri wangu ndio huo vinginevyo endelea kuliwa hela.

Mkuu matatizo yangu hayajafikia huko unakodhani. tatizo langu nikitaka kusoma au kuandika ni hadi nisogelee kitu karibu hata simu pia yaani kama unavyomuona albino anavyotumia simu kwa kuisogeza karibu na uso. nje ya hapo natembea vizuri na kufanya mambo yangu kama kawaida.
 
Back
Top Bottom