Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
ivi mtu ni mwanamke unapitiaje hali ngumu kutaka kujiua wakat una mume anaekuhudumiaNimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Kwa hivyo unataka kujiua ili uwatese zaidi watoto wako?Naenda kwa rafiki nan na tumbo, na mtoto wa 3yrs, na mwingine miaka 10 anasoma
Bado Hujajaza gallery tu???
Usikate tamaa,hapo unapitia mood swings tu. Jifungue kwanza upate mtoto then mengine yatafuata.Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Yani uache wanao kwa sababu ya ujinga wa mtu mmojaPole sana,,,, hizo ni changamoto kila mtu anapitia kwa wakati wake nakuomba usijaribu kujiua wanao watateseka sana...
Mi naelewa maisha yalivyo kuishi bila mzazi katika umri mdogo pls wanao watateseka mno.
Anza kwenda kanisani au msikitini kwenye Imani yako........ Kama ni mkatoliki nenda kwa paroko sio kushtaki bali kueleza unachopitia muda huu Nina Imani atakusaidia sana na anaweza hata kufunga novena kwa ajili yako kumbuka una mimba.
Nakuomba narudia usijiue kwa sababu watakao teseka ni wanao na hiyo dhambi itakutesa huko kaburini.
Mtoa mada ni mwanamke mkuu soma tena comment yakoKuna watu wanapitia magumu kuliko wewe. Pole Kwa kucahagua mwanamke asiyeleta furaha ndani ya nyumba
πMtoa mada ni mwanamke mkuu soma tena comment yako
Hapo sasa nisaidie kumshangaa huyo anaetaka kujiua sababu ya suruali.Yani uache wanao kwa sababu ya ujinga wa mtu mmoja
Sasa kama unataka kuwatesa hao watoto basi jiue! Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama uyatima ukiwa mtoto! Tuulize sisi!Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Pole Sana dada! Jisogeze jirani na nyumba za ibada. Mwenyezi anayo suluhu ya matatizo yako..Yote hayo yatapitaNimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Pole sana ndugu ndio maisha yalivyo kila mtu analia kwa namna yake kwa hivyo usijisikie vibaya ukadhani changamoto uko nazo peke yako ni vile tu wengine huwa hawasemi wanaumia kimyakimya moyoni.Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
π π π π πHapo sasa nisaidie kumshangaa huyo anaetaka kujiua sababu ya suruali.
πππMtoa mada ni mwanamke mkuu soma tena comment yako