Nimekataa kuwa miongoni mwa wasiojua kuongea Kiingereza kwa unyoofu

Nimekataa kuwa miongoni mwa wasiojua kuongea Kiingereza kwa unyoofu

Ufafanuzi kidogo Dr. Haya Land, kama hutojali🙏

"Focus katika eneo lakini ambalo utaweza kulifanyika kazi"

Unaweza ukanifafanulia zaidi?


Hapa nimemaniisha kuwa lugha ya kiingereza ni pana Sana , hivyo hauwezi ukajua kila kitu Ila unaweza kuwa fluency kwa kuwekeza katika eneo lako la kazi.


Kupitia eneo lako la kazi unabidi kuwa unalimudu vizuri kupitia kiingereza

Mfano labda wewe ni Psychologist basi uwe na uwezo wa kujua kuwasiliana na kuwasilisha kwa lugha ya kiingereza .

Ukitumia mbinu hii utakuwa na competence katika kazi yako then utakuwa Fluency kwa haraka.

Ila ukitaka kujua kila kitu utakosa Hyper focus /mastering utajikuta unajua kiingereza Ila hauna uwezo wa kuitumia katika kazi yako hapo ndo utaonekana haujui na hii ndo inawakuta graduate wengi.
 
Ukijua English unaweza kwenda popote duniani na ukawasiliana na watu wa huko.English ndio lugha,Lugha kama kiswahili haikufikishi popote
 
Huu unyonge wa kutokuongea kiingereza vema niliukataa tangu nikiwa shule ya msingi. Sina elimu kubwa sana ya kusisimua siku moja nilijikuta nimehudhuria mkutano wa taasisi ya Mkapa Fellow pale mlimani city jijini dar, Lugha kuu ilikuwa ni kiingereza, nilitakiwa niulize swali na nichangie mada kwa kiingereza na elimu yangu ni ndogo ukilinganisha na washiriki wengine waliokuwa na elimu kubwa kuliko yangu. Nilijiamini nitaweza kuongea kwa ufasaha huku kamera za media mbalimbali zikinimulika na mbele yangu high table yupo mheshimiwa Mkapa, nilikatafuna kama maji kiingereza wanaigeria na wahindi wakasome. Kwa sasa najifunza kifaransa niko hatua za mwishomwisho, kiingereza nimeshatoka huko, ukija na british au american english tunapandisha tu bila kubabaika, leta hata kiingereza cha ireland sipati shida kuongea.
 
Tatizo watanzania wengi mara tu wanapohitimu elimu ya msingi au sekondari basi kiingereza huacha kuendelea kujifunza kwa bidii nje ya mfumo rasmi wa elimu. Elimu haina mwisho, mtu anatakiwa kuendelea kupata maarifa na stadi hata nje ya mfumo rasmi wa elimu, kusoma si lazima uwe shuleni/chuoni, popote panapoweza kujifunza jambo hukohuko unajifunza ili uweze kurahisisha mambo kwa wepesi na haraka zaidi. Dhana ya elimu ni pana haishii shuleni na chuoni tu, elimu ni bahari
 
Hapa nimemaniisha kuwa lugha ya kiingereza ni pana Sana , hivyo hauwezi ukajua kila kitu Ila unaweza kuwa fluency kwa kuwekeza katika eneo lako la kazi.


Kupitia eneo lako la kazi unabidi kuwa unalimudu vizuri kupitia kiingereza

Mfano labda wewe ni Psychologist basi uwe na uwezo wa kujua kuwasiliana na kuwasilisha kwa lugha ya kiingereza .

Ukitumia mbinu hii utakuwa na competence katika kazi yako then utakuwa Fluency kwa haraka.

Ila ukitaka kujua kila kitu utakosa Hyper focus /mastering utajikuta unajua kiingereza Ila hauna uwezo wa kuitumia katika kazi yako hapo ndo utaonekana haujui na hii ndo inawakuta graduate wengi.
Shukran sana mkuu
 
Akileta ngeli nampa kiswa kama nitatumia ngeli akisema mbovu aongee yangu sahihi
 
Ukijua English unaweza kwenda popote duniani na ukawasiliana na watu wa huko.English ndio lugha,Lugha kama kiswahili haikufikishi popote
Ni kweli kabisa mkuu.

Ndiyo maana Wakenya na Waganda waliopo ughaibuni ni wengi kuliko Watanzania.
 
Huu unyonge wa kutokuongea kiingereza vema niliukataa tangu nikiwa shule ya msingi. Sina elimu kubwa sana ya kusisimua siku moja nilijikuta nimehudhuria mkutano wa taasisi ya Mkapa Fellow pale mlimani city jijini dar, Lugha kuu ilikuwa ni kiingereza, nilitakiwa niulize swali na nichangie mada kwa kiingereza na elimu yangu ni ndogo ukilinganisha na washiriki wengine waliokuwa na elimu kubwa kuliko yangu. Nilijiamini nitaweza kuongea kwa ufasaha huku kamera za media mbalimbali zikinimulika na mbele yangu high table yupo mheshimiwa Mkapa, nilikatafuna kama maji kiingereza wanaigeria na wahindi wakasome. Kwa sasa najifunza kifaransa niko hatua za mwishomwisho, kiingereza nimeshatoka huko, ukija na british au american english tunapandisha tu bila kubabaika, leta hata kiingereza cha ireland sipati shida kuongea.
Hongera sana mkuu
 
Ni kweli kabisa mkuu.

Ndiyo maana Wakenya na Waganda waliopo ughaibuni ni wengi kuliko Watanzania.
Yup kingereza ni lugha ya kimaraifa kila nchi unayoenda lazima utakuta wapo watu wanoielewa English,hata katika nchi ambazo wanaongea lugha zao kama China,Italy,Germany na nyinginezo.

Nashangaa wenye akili fupi wanaita utumwa kukitanguliza kiingereza mbele wanakionea ufahari kiswahili,jiulize kiswahili kinatupeleka wapi?.English ni Lugha ya vitu vingi science,technology na vingine vingi.Ukitaka upate maarifa mengi hasa kwenye Mtandao yanapatikana kwenye Lugha hii.I wish ningekijua kingereza sawia halafu kiswahili ndio kifuate.Nitaitwa mtumwa wa fikra ila wacha niseme ukweli huku nikitetemeka.
 
miaka ya elfu mbili na kumi nilikutana na dada wa kizungu pale Nando's.

nikaanza kumtongoza kwa kingereza cha ugoko maneno mpaka nitafute!.
ila wazungu waelewa aliwai kutambua kuwa kingereza sikijui akawa yeye ananisaidia maneno minikabaki"yah,,ok,,of corse.
 
Yup kingereza ni lugha ya kimaraifa kila nchi unayoenda lazima utakuta wapo watu wanoielewa English,hata katika nchi ambazo wanaongea lugha zao kama China,Italy,Germany na nyinginezo.

Nashangaa wenye akili fupi wanaita utumwa kukitanguliza kiingereza mbele wanakionea ufahari kiswahili,jiulize kiswahili kinatupeleka wapi?.English ni Lugha ya vitu vingi science,technology na vingine vingi.Ukitaka upate maarifa mengi hasa kwenye Mtandao yanapatikana kwenye Lugha hii.I wish ningekijua kingereza sawia halafu kiswahili ndio kifuate.Nitaitwa mtumwa wa fikra ila wacha niseme ukweli huku nikitetemeka.
Hiyo haina tofauti na mwajiriwa anayeamini bosi wake ni mjinga wakati bosi wake kaweza kubuni mradi na kumpa kazi inayompa mshahara kila mwezi.

Kama kuongea English ni utumwa na Kiswahili ni uzalendo, huo uzalendo umemfikisha wapi huyo "mzalendo" na utumwa wa English umemkosesha nini mwenye kukijua?

Utaona wazi kuwa Mswahili asiyejua lugha zingine ndiye anayekuwa kama mtumwa.

Nyerere asingejua English asingeweza kwenda UN kudai uhuru wa Tanganyika.
 
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5.

Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi.

Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna swali limeulizwa hivi: HOW LONG DID IT TAKE YOU TO LEARN ENGLISH IN ORDER TO SPEAK IT FLUENTLY?

Kuna majibu tofauti kwa watu tofauti. Kuna waliosema miezi sita, wengine miaka miwili, wengine mwaka mmoja, wengine miaka minne, n.k.

Lakini jibu la huyu mtu limenigusa vilivyo!

Anaandika, "I'm 54 years old, native speaker, and I still have not learned to speak perfectly ..." - Daniel.

Inamaanisha Daniel angali akijifunza.

Ikiwa Daniel angali akijifinza, mimi ni nani nione aibu kujinoa zaidi?

Ona,
1. Kanizidi umri
2. Kiingereza ni lugha yake ya kwanza
3. Inawezekana, kanizidi pia na Elimu. Labda ana "Masters Degree", wakati mimi ningali na shahada moja.

"Kibongo bongo", kama wengine wasemavyo, ningeweza kuhesabiwa kuwa na mimi ninajua Kiingereza. Lakini kwa jinsi nijuavyo, bado sana. Lakini wiki sita (siyo miezi sita), naam, wiki sita kuanzia sasa, nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Nimeshapakua video kadhaa za kutumia kwa mazoezi.

Kama kuna mwenye wazo lo lote la kuboresha au la kuongezea, nitapokea kwa mikono miwili.

Nawakaribisha na wale wote wasioona aibu kujifunza tujumuike pamoja kujinoa katika hii lugha izungumzwayo na watu wengi zaidi duniani kuliko lugha nyingine yo yote ile.

Nikiishafikia viwango vya Kimataifa, nitaangalia kama nijinoe kidogo kwenye Kiswahili, au nijifunze lugha mpya kabisa, kati ya Kifaransa, Kihispaniola, Kiitaliano au Kijerumani.

Hata hivyo, kura inaweza kuiangukia Kifaransa.

It's never too late to start...

Nimeamua kuanza sasa, na sitasimama hadi nifike.
Hongera na Kila la kheri na Mafanikio katika azma yako. Wengi wa WaTz tumeanza kujifunza tangu chekechea, wengine darasa la 3, hivyo ni miaka mingi ya kujifunza, ila haikuwekewa mkazo sana, matokeo yake wengi katika utu uzima, bado inawapiga chenga.
 
Ukipata mtu anayependa kuzungumza kwa kiingereza na mkawa mnazungumza daily itasaidia saana.
Jiunge na app moja inaitwa hello talk unaweza kupata mtu wa kuexchange lang ukamfundisha kiswahili yeye akakufundisha kiingereza.
Au app ya Tandem pia jaribu mkuu
 
Back
Top Bottom